green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
HamorapaHuyu jamaa anapenda Kiki mpaka kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HamorapaHuyu jamaa anapenda Kiki mpaka kero
Wanapendaga kulelewa na kuzamishwa chumvini na bibi zaoHivi ukiwa msanii huwezi tafuta kabinti kabichi ukaoa
Na kinyakyusaForm four .ubunge Ni kujua kusoma na kuandika kiswahili sa sugu anapiga Hadi kiingereza
Ni mkingaNa kinyakyusa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miaka ya Wema Sepetu imestack
Harmonize licha ya kuwa staa ila bado ni mshamba sana.Hamornize amethibitisha kuwa anaamini Kajala ni mwanamke sahihi kwenye maisha yake! Akijibu swali la Mwijaku amediriki kutamka kuwa usahihi wa Kajala kwenye mahusiano yake ni 1000%
Uzi tayari
😂 😂 😂Na mimi hapo ndio hua nashindwa kuwashangaa hawa jamaa. Mi nadhani huenda hawa wasanii wa kike labda hua wanatumia ndumba kuwakamata mastaa.
Haiingii akilini kijana mdogo upate hela halafu badala ya kula mali safi zilizojaa kila mahali mitaani, tena unakuta zenyewe ndio zinakupapatikia, eti wewe ukakamate hayo ma ngarangara yaliyojichokea ndio unatoka nayo!
Enewei, lakini nadhani pia hawa wasanii wetu wengi ushamba + ujinga umewajaa. Hata hivyo, acha wao wale mangarangara yao wapunguze ushindani huku mitaani ili sisi kajambanani nasie tule vitu safi..!😀 Maana wakishuka huku grassroot level sijui sisi tutakua wageni wa nani?
HongereniHamornize amethibitisha kuwa anaamini Kajala ni mwanamke sahihi kwenye maisha yake! Akijibu swali la Mwijaku amediriki kutamka kuwa usahihi wa Kajala kwenye mahusiano yake ni 1000%
Uzi tayari
Sugu ana usomi gani?Awali nilijua jamaa ana jitambua na ana vision.kumbe wale wale. Ebu ona maisha ya hawa wasanini:
1.Mr.Sugu
2.Prof J
3. Ay
4. Mwana FA (mh.Mbuge)
Angalia life style yao, familiar zao na mafanikio yao.
au usomi wao umechangia??
Sugu hata ya kuunga hanaSugu, AY na Prof J hawana elimu bora Mwana FA kaungaunga kiasi chake.
When did the dude say that?😝😝😝Hamornize amethibitisha kuwa anaamini Kajala ni mwanamke sahihi kwenye maisha yake! Akijibu swali la Mwijaku amediriki kutamka kuwa usahihi wa Kajala kwenye mahusiano yake ni 1000%
Uzi tayari
Back in the days before the 'washa taa' scandal.When did the dude say that?[emoji13][emoji13][emoji13]