Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Pole mkuuWaache uongo na wenyewe wikipedia, inamaana mm mkubwa kwa wema??
Alafu harmo kanikera sanaa, yes tuna msiba mzito kweli ila nilivoona video clip akilia nikaona anataka kutembelea msiba huu mzito kufanya kiki.
Hiv unaliaje ukijionyesha kwenye camera na kupost? Means unafanya dhihaka eee, wangempost wengine ningeamini sure jamaa kaumia but unajipost???
Yani unapanga kabisa kuwa nirekodini nikilia then nipost?
Ujinga kama huu unatakiwa kuisha. Fu** u harmooo.
Pumbavu kabisaaa.
For Now?
Wikipedia kamusi elezo huruView attachment 1728568
Sugu ana usomi gani?Awali nilijua jamaa ana jitambua na ana vision.kumbe wale wale. Ebu ona maisha ya hawa wasanini:
1.Mr.Sugu
2.Prof J
3. Ay
4. Mwana FA (mh.Mbuge)
Angalia life style yao, familiar zao na mafanikio yao.
au usomi wao umechangia??
Hapo ndipo naamini ukweli ya kwamba hesabu hazidanganyikazaliwa 96 aka win miss tanzania 2006 akiwa na miaka 10[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazaliwa 96 aka win miss tanzania 2006 akiwa na miaka 10[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Toa ay na mwanafa voda wameappear .Awali nilijua jamaa ana jitambua na ana vision.kumbe wale wale. Ebu ona maisha ya hawa wasanini:
1.Mr.Sugu
2.Prof J
3. Ay
4. Mwana FA (mh.Mbuge)
Angalia life style yao, familiar zao na mafanikio yao.
au usomi wao umechangia??
Form four .ubunge Ni kujua kusoma na kuandika kiswahili sa sugu anapiga Hadi kiingerezaAna PhD ya siasa
Yaani Harmonize ana vision?Awali nilijua jamaa ana jitambua na ana vision.kumbe wale wale. Ebu ona maisha ya hawa wasanini:
1.Mr.Sugu
2.Prof J
3. Ay
4. Mwana FA (mh.Mbuge)
Angalia life style yao, familiar zao na mafanikio yao.
au usomi wao umechangia??
Hivi ukiwa msanii huwezi tafuta kabinti kabichi ukaoa
Tena msamba dume akitua anakutana na chupa ya serengetiDiamond anamchanisha msamba huyo dogo , albam ya Mboso sjui atatumia Kiki gan kuizima[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]