Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Kwa akili ya kawaida mwanaume anaejielewa hawezi kufanya haya. Imefika wakati baada ya mazoea ya kusuka "twende kilioni" naona kaanza kuvaa na zile ''hereni kubwa"
harmonise 1.jpg
za akina mama.

Muda utaongea. Tuendelee kuwa watazamaji.
harmonise 2.jpg
 
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.

Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.

Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.

Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.

Nk

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuzaa Mtoto Wa Kiume Na Kumlea Ni Kazi
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Anaitwa Nani?Konde Boy Ama Konde Girl!!!

Hapo Sasa Hivi Ndiyo Tumemdharau
Wagosi Wa Kaya Wana Song Lao
Wanasema Tunao Wakina Kaka Wanaoshikishwa Ukuta 😁😂😅😄😏
 
Back
Top Bottom