Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Elimu,elimu,elimu!
Mambo mengi yanaigwa bila kuzingatia mila na utamaduni wetu.
Msanii wa afrika akisifiwa anaenda kusuka nywele,kutoboa masikio na kuvaa hereni,yaani anaelekea kufanya mambo yasiyokuwa na mwelekeo na mila na tamaduni zetu.
Wasanii wetu wajifunze kujiweka katika hadhi inayokubalika.
 
Elimu,elimu,elimu!
Mambo mengi yanaigwa bila kuzingatia mila na utamaduni wetu.
Msanii wa afrika akisifiwa anaenda kusuka nywele,kutoboa masikio na kuvaa hereni,yaani anaelekea kufanya mambo yasiyokuwa na mwelekeo na mila na tamaduni zetu.
Wasanii wetu wajifunze kujiweka katika hadhi inayokubalika.
Naunga mkono hoja
 
Sasa kama watu wake wa karibu ni kina h baba unategemea nn😆😆😆😆
 
Kuzaa Mtoto Wa Kiume Na Kumlea Ni Kazi
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Anaitwa Nani?Konde Boy Ama Konde Girl!!!

Hapo Sasa Hivi Ndiyo Tumemdharau
Wagosi Wa Kaya Wana Song Lao
Wanasema Tunao Wakina Kaka Wanaoshikishwa Ukuta [emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji57]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi huu na comment zote humu za kishamba acheni ushamba watanzania
Kwanini mmekaa kujadili maisha ya watu?

Maisha binafsi ya mtu yanakuhusuni Nini
Na kama mnajiona mko sawa sana badilisheni dunia au Tanzania iwe Kama mnavyotaka nyie ni jambo ambalo hamuwezi sasa kwanini mdajadili ujinga

We ni Bwabwa sio bure.
Nyie ndio wajinga ambao mnailazimisha jamii iyaone mambo ya kipuuzi na kishenzi kuwa mambo ya kawaida. Hivi mwanaume kuappear kwenye female form kwako wewe iko sawa tu ??
Hakuna cha ushamba wala ndugu yake na ushamba.! Harmonize amezingua pamoja wewe mwenyewe bwabwa lake
 
We ni Bwabwa sio bure.
Nyie ndio wajinga ambao mnailazimisha jamii iyaone mambo ya kipuuzi na kishenzi kuwa mambo ya kawaida. Hivi mwanaume kuappear kwenye female form kwako wewe iko sawa tu ??
Hakuna cha ushamba wala ndugu yake na ushamba.! Harmonize amezingua pamoja wewe mwenyewe bwabwa lake
Huwezi kupangia watu kuishi unavyotaka wewe
Maoni yako siyo lazima yafanane na wengine kuwa huru kufanya na kuwaza unavyojiskia vibaya kuvunja Sheria tu

Msishughulike na mambo yasiyowahusu
ni uwezo mdogo tu wa kufikiri ndiyo mana afrika tunatajwa kuwa na IQ ndogo ni pamoja na mkusanyiko wa mambo Kama haya
 
Back
Top Bottom