Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Mkuu uko sahihi kabisa, yaani mtu hata akitembea uchi hawa wajinga watasema mnampangia kumwambia akavae nguo ili hali anachokifanya sio acceptable kabisa.
Mie nitaendelea ku attack post za hawa washenzi wanaotaka kutuharibia kizazi chetu.
Kizazi kiharibike mara ngap, life style ndivo ilivo
 
Hakuna jipya chini ya jua...hata anayo fanya yamefanywa sanaaa....!
 
ndio mana wasaniii wakipata hela chakwanza kununua ni Gari,

haki nasema eti nipande public pembeni kasimama huyo dogo kavaa hilo hereni..

ntajitia nataka kudondoka halafu nashikilia hilo hereni nipate balance nisidondoke,naivuta haswaa..
 
ndio mana wasaniii wakipata hela chakwanza kununua ni Gari,

haki nasema eti nipande public pembeni kasimama huyo dogo kavaa hilo hereni..

ntajitia nataka kudondoka halafu nashikilia hilo hereni nipate balance nisidondoke,naivuta haswaa..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Unataka sikio la mwenzio likatike.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Unataka sikio la mwenzio ikatike.
na nafanya makusudi ili aanzishe mjadala kila mtu amuone sijui atalalamika au ataacha

nimekumbuka zamani kuna dogo alimchoma kidole jamaa flani alivaa taiti kwenye public

jamaa aliechomwa dole akageuka akaanza kurusha ngumi,anaulizwa shida nini "hasemi" anawambia

watu muulizeni huyo dogo shida nini,dogo nae anasema hajafanya kitu na jamaa aliechomwa dole hataki kusema kafanywa nini

ikabidi jamaa mchomwa dole watu wamseme wamwambie aache ugomvi wa ajabu maana hataki kusema alichofanywa,sasa ndio

najaribu kuwaza nikimfanyia hivyo hamonaiz atanyamaza au atanibwatukia nimemuumiza sikio na hereni yake,yani nawaza hapooo.
 
Afrika tuna tamaduni, tamaduni zetu haziruhusu mwanaume kutafuta mwonekano wa kike.

Natamani wasanii wetu wangeheshimu hilo, dunia itatuheshimu tukiheshimu tamaduni zetu.

Kuambiwa tuna Low IQ ni matokeo ya kuamini kuwa tamaduni za watu wengine ni bora kuliko zetu halafu tunapojaribu kurekebishana watu kama wewe wanatokea na kusema tunaingilia mambo ya watu.

Africa IPO nyuma sababu wazungu walikuja tukaachana na ya kwetu na kuamini ya kwao ni bora. Na mpaka sasa tunapambana na hilo.
Tamaduni za Afrika ni zipi?
Huwenda unayeongea hivi hujui hata tamaduni zako Kama muafrika ni zipi
Lakini hata kuvaa nguo sio utamaduni wetu Kama wewe unazingatia sana tamaduni anza na hilo dogo tu

Inabidi ufahamu kuwa dunia imebadilika sana na katika mabadiliko hayo kuna faida na hasara zake

Pia fahamu kwamba
Kuanzia serikali mpaka mtu mmoja mmoja
Hatujiendeshi kwa tamaduni zetu tunaiga karibu kila kitu
Kuna muingiliano mkubwa sana wa watu na tamaduni zao lakini afrika tu huwenda kuna tamaduni za kishenzi kuliko hata kwa hao wazungu
 
Kinachonitesa zaidi ni kuwa na muonekano huo akiwa mbele ya ndugu jamaa wazazi na walezi waliomlea
 
Tamaduni za Afrika ni zipi?
Huwenda unayeongea hivi hujui hata tamaduni zako Kama muafrika ni zipi
Lakini hata kuvaa nguo sio utamaduni wetu Kama wewe unazingatia sana tamaduni anza na hilo dogo tu

Inabidi ufahamu kuwa dunia imebadilika sana na katika mabadiliko hayo kuna faida na hasara zake

Pia fahamu kwamba
Kuanzia serikali mpaka mtu mmoja mmoja
Hatujiendeshi kwa tamaduni zetu tunaiga karibu kila kitu
Kuna muingiliano mkubwa sana wa watu na tamaduni zao lakini afrika tu huwenda kuna tamaduni za kishenzi kuliko hata kwa hao wazungu
Mkuu nakupobgeza kwa kuwaelimisha wapumbavu.

Hata kutumia mitandao na gadgets siyo utamaduni wa mtu mweusi.

Wazungu wakufundishe kuvaa suti, leo unajiona una maadili kuliko huyo huyo mzungu Kwasababu unavaa alivyokupa yeye.

Waafrika tuna akili ndigo sana aiseee
 
Tunawasubiri wajipake mafuta kwenye mata.core, tutawashughulikia ipasavyo
 
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.

Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.

Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.

Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.

Nk
Hahahahahhahah fala sana.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nilipe aseeeh, mbavu zangu umezionea sana
 
Yani Harmonize anatamani kuwa bishoo.
Anatamani kuwa na swagz
Anatamani kutupia kijanja
Anatamani kuwa na identity yake.
Ila ndo hajui na haaaanaaaaaa tu awe na style ipi zaidi ya anazoziona kwa Naseeb.
Sasa hapo ndo anapojikuta Anavaa vitu vya ajabu, anasuka vitu vya ajabu.
Yuko very confused kimsingi.
 
Back
Top Bottom