Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Kizazi kiharibike mara ngap, life style ndivo ilivoMkuu uko sahihi kabisa, yaani mtu hata akitembea uchi hawa wajinga watasema mnampangia kumwambia akavae nguo ili hali anachokifanya sio acceptable kabisa.
Mie nitaendelea ku attack post za hawa washenzi wanaotaka kutuharibia kizazi chetu.