Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

We ni Bwabwa sio bure.
Nyie ndio wajinga ambao mnailazimisha jamii iyaone mambo ya kipuuzi na kishenzi kuwa mambo ya kawaida. Hivi mwanaume kuappear kwenye female form kwako wewe iko sawa tu ??
Hakuna cha ushamba wala ndugu yake na ushamba.! Harmonize amezingua pamoja wewe mwenyewe bwabwa lake
Haaaaa Haaaaa 😂
 
Huwezi kupangia watu kuishi unavyotaka wewe
Maoni yako siyo lazima yafanane na wengine kuwa huru kufanya na kuwaza unavyojiskia vibaya kuvunja Sheria tu

Msishughulike na mambo yasiyowahusu
ni uwezo mdogo tu wa kufikiri ndiyo mana afrika tunatajwa kuwa na IQ ndogo ni pamoja na mkusanyiko wa mambo Kama haya

Shenzenu wote mnaoshabikia mambo ya kishoga..! Mnaoshabikia mambo haya ya kishenzi hatimaye mbaishiaga kulamba lolypop za wanaume wenzenu. You’re male, how comes do you get attracted to be/ look like female.! Pumbavu zenu wote mnaoshabikia ushoga ..! Hata nikipigwa Ban furrshii tu ila nawachukia sana nyie wangese mnaoshabikia huu utopolo. Bwabwa wewe
 
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.

Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.

Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.

Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.

Nk
Inaonekana unamfuatilia sana[emoji16]
 
Je unapinga lipi?
*Kuvaa hereni au kuvaa hereni kubwa?
*Kusuka au kusuka twende kilioni?
 
Shenzenu wote mnaoshabikia mambo ya kishoga..! Mnaoshabikia mambo haya ya kishenzi hatimaye mbaishiaga kulamba lolypop za wanaume wenzenu. You’re male, how comes do you get attracted to be/ look like female.! Pumbavu zenu wote mnaoshabikia ushoga ..! Hata nikipigwa Ban furrshii tu ila nawachukia sana nyie wangese mnaoshabikia huu utopolo. Bwabwa wewe
Nakazia kusema think capacity ya watu aina yenu ni ndogo ndiyo Maana umeishia kutukana tukana tu hovyo huna hoja ya hicho unachoongea
Sishabikii ushoga ila siwezi kuingilia maisha ya watu yasiyonihusu kwa namna yoyote ile wamekuwa hivyo kwa interest zao au wamekuwa hivyo kwa matatizo yao mengine hatuwezi kuwaua
Kwahiyo sikubali wala sikatai kwa kuwa Ni Mambo ambayo yako nje ya uwezo wangu
Sihusiki nayo na kwakila kitu
 
Huwezi kupangia watu kuishi unavyotaka wewe
Maoni yako siyo lazima yafanane na wengine kuwa huru kufanya na kuwaza unavyojiskia vibaya kuvunja Sheria tu

Msishughulike na mambo yasiyowahusu
ni uwezo mdogo tu wa kufikiri ndiyo mana afrika tunatajwa kuwa na IQ ndogo ni pamoja na mkusanyiko wa mambo Kama haya
Afrika tuna tamaduni, tamaduni zetu haziruhusu mwanaume kutafuta mwonekano wa kike.

Natamani wasanii wetu wangeheshimu hilo, dunia itatuheshimu tukiheshimu tamaduni zetu.

Kuambiwa tuna Low IQ ni matokeo ya kuamini kuwa tamaduni za watu wengine ni bora kuliko zetu halafu tunapojaribu kurekebishana watu kama wewe wanatokea na kusema tunaingilia mambo ya watu.

Africa IPO nyuma sababu wazungu walikuja tukaachana na ya kwetu na kuamini ya kwao ni bora. Na mpaka sasa tunapambana na hilo.
 
Afrika tuna tamaduni, tamaduni zetu haziruhusu mwanaume kutafuta mwonekano wa kike.

Natamani wasanii wetu wangeheshimu hilo, dunia itatuheshimu tukiheshimu tamaduni zetu.

Kuambiwa tuna Low IQ ni matokeo ya kuamini kuwa tamaduni za watu wengine ni bora kuliko zetu halafu tunapojaribu kurekebishana watu kama wewe wanatokea na kusema tunaingilia mambo ya watu.

Africa IPO nyuma sababu wazungu walikuja tukaachana na ya kwetu na kuamini ya kwao ni bora. Na mpaka sasa tunapambana na hilo.

Mkuu uko sahihi kabisa, yaani mtu hata akitembea uchi hawa wajinga watasema mnampangia kumwambia akavae nguo ili hali anachokifanya sio acceptable kabisa.
Mie nitaendelea ku attack post za hawa washenzi wanaotaka kutuharibia kizazi chetu.
 
Mkuu uko sahihi kabisa, yaani mtu hata akitembea uchi hawa wajinga watasema mnampangia kumwambia akavae nguo ili hali anachokifanya sio acceptable kabisa.
Mie nitaendelea ku attack post za hawa washenzi wanaotaka kutuharibia kizazi chetu.
Usiishie Ku attack, ukikutana na mmoja mfundishe kwa vitendo kuwa hatutaki mafundisho yanayofanania au kuchochea ushoga TZ.
 
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.

Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.

Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.

Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.

Nk
20201129_122658.jpg
 
Back
Top Bottom