Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Harmonize kavuka mipaka. Mlie karibu na huyu mtu mshaurini vizuri

Achana na kitu kinaitwa ‘Depression ‘ au ‘Sonona’. Msimcheke,anatakiwa aonewe huruma.

Kinachoshangaza zaidi,Jembe ni Daktari kwa taaluma naamini anatakiwa awe mwepesi kugundua baadhi ya mabadiliko ya tabia ya msanii wake ili apewe ‘Ushauri Nasaha’
 
Uzi huu na comment zote humu za kishamba acheni ushamba watanzania
Kwanini mmekaa kujadili maisha ya watu?

Maisha binafsi ya mtu yanakuhusuni Nini
Na kama mnajiona mko sawa sana badilisheni dunia au Tanzania iwe Kama mnavyotaka nyie ni jambo ambalo hamuwezi sasa kwanini mdajadili ujinga
 
Mawazo yangu.

Mwanaume yoyote ambae amekamilika hasawa, yaani rijali la kiafrika hata awe maarufu vipi au awe na pesa vipi, hawezi kutoboa masikio au kusuka.

Wanaume wote wanaosuka na kutoboa masikio nawaona ni kama mashog.a

Haya ni mawazo yangu lakini.

Samahani, naomba nikazie, mwanaume wa kiafrika anayesuka na kutoboa sikio avae heleni mimi namhesabu kama sh.oga tu.
 
Mawazo yangu.

Mwanaume yoyote ambae amekamilika hasawa, yaani rijali la kiafrika hata awe maarufu vipi au awe na pesa vipi, hawezi kutoboa masikio au kusuka.

Wanaume wote wanaosuka na kutoboa masikio nawaona ni kama mashog.a

Haya ni mawazo yangu lakini.

Samahani, naomba nikazie, mwanaume wa kiafrika anayesuka na kutoboa sikio avae heleni mimi namhesabu kama sh.oga tu.
VIP sisi wamasai mkuu???
 
Huwezi kuwa msanii bila kufanya mambo ya kike kike? Usanii ni ukikekike? Kama ndio hivyo wakumbuke wanawake wanaingiliwa
 
Unaenda shopping kabisa mnapigana vikumbo na pisi kali kwenye maduka ya urembo kuchagua hereni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa vijana wa Dar kawaida tu
 
Mawazo yangu.

Mwanaume yoyote ambae amekamilika hasawa, yaani rijali la kiafrika hata awe maarufu vipi au awe na pesa vipi, hawezi kutoboa masikio au kusuka.

Wanaume wote wanaosuka na kutoboa masikio nawaona ni kama mashog.a

Haya ni mawazo yangu lakini.

Samahani, naomba nikazie, mwanaume wa kiafrika anayesuka na kutoboa sikio avae heleni mimi namhesabu kama sh.oga tu.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom