Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
No its not me dear. Shambaboy wangu ndio alikuwa anachezea simu mda uleIs you is you?[emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No its not me dear. Shambaboy wangu ndio alikuwa anachezea simu mda uleIs you is you?[emoji15][emoji15]
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.
Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.
Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.
Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.
Nk
Hapo sawa, Makofi kwa shambaboy akeee[emoji122][emoji122]No its not me dear. Shambaboy wangu ndio alikuwa anachezea simu mda ule
ile chuma mbona hujaleta tuifanyie mambo sasa bibie.Hapo sawa, Makofi kwa shambaboy akeee[emoji122][emoji122]
Sio mwanamuziki mbaya.Dogo kwa namna moja tungesema anajitahidi, ila naona baada ya kutoa wimbo wa Ushamba ni kama washabiki tumemgeuka.
Natumaini management yake inapata hizi backlashes na itamshauri vizuri.
Bado yuko kwenye right track.
Asee siwezi mpa mtu mwingine kazi zaidi yako, niko nje ya jiji ngoja nirudi ntakuibukiaile chuma mbona hujaleta tuifanyie mambo sasa bibie.
Ahaa poa poa mamiiAsee siwezi mtu mwingine kazi zaidi yako, niko nje ya jiji ngoja nirudi ntakuibukia
Nikiwa mdogo mama na dada ndo wasusi wangu ila nw nina masusi wangu binafsiUnasukwa? Na nani? Bi mkubwa wako?
Anorectal line yako iko fresh kabisa?[emoji15][emoji848]
. Kwasababu ni hulka ya ukoo wetuUnasuka ili iweje ewe mwana wa.com?
Kama umeona ni ujinga. Pita kimya. Kuna tatizo. Wasanii wa kiume wana ukike mwingi sanaUzi huu na comment zote humu za kishamba acheni ushamba watanzania
Kwanini mmekaa kujadili maisha ya watu?
Maisha binafsi ya mtu yanakuhusuni Nini
Na kama mnajiona mko sawa sana badilisheni dunia au Tanzania iwe Kama mnavyotaka nyie ni jambo ambalo hamuwezi sasa kwanini mdajadili ujinga