I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kwa hiyo hayo ni masharti ya wakubwa?Ukipewa maisha ya wakubwa unawezaje kukataa mashalt yao? kuna muda tunaweza kusema kua mtu anapotea kumbe yupo kwenye ibada
Ni zaidi ya hapoHuu ndo ushamba sasa
HahahaUnaenda shopping kabisa mnapigana vikumbo na pisi kali kwenye maduka ya urembo kuchagua hereni πππππ
π€£π€£π€£π€£Unaenda shopping kabisa mnapigana vikumbo na pisi kali kwenye maduka ya urembo kuchagua hereni πππππ
Anajaribu kufanya kila Diamond anachofanya kwa ukubwa.
Diamond anavaa heleni ndogo yeye kavaa kubwa.
Diamond kasaini wasanii 5 yeye kafikisha 7.
Diamond anasuka misuko 3 yeye kasuka 8.
Nk
Konde for every bodyπHapo Sasa Hivi Ndiyo Anaitwa Nani?Konde Boy Ama Konde Girl!!!
ππ ππ
Jamaa Kawa Hovyo SanaKonde for every bodyπ
Duh! Kama mwanaume unafika stage hiyo ujitathimin Cha ajabu kavaa hizo heleni kubwa alafu yupo comfortable kabisa huyu bwana mdogo sijui Nini kimemkumba?Hiv amekosa washauri kweli?
ππππ ππππππHata shanga usikute anavaa ili awe tofauti na wenzie hahahahhaa