acha kumvika nidhamu ya woga mkuu...mwache kijana apambane hizo risala zinamfaa babu talent na mkubwa fala wameacha lebo zao wamekimbilia kua chawa ndani ya wcbNyie ndio mtamharibu sasa... Uzuri ni kwamba anajitambua sana
DIAMOND alimsomesha binti chuo baada ya kuhitimu yule binti akapata kazi na kupata bwana mwengine na kuolewa naeNamba 6 hapana, anafanya kazi ili apate pesa sasa asiende ziara hata kazi yake inakua haina maana.
DIAMOND alimsomesha binti chuo baada ya kuhitimu yule binti akapata kazi na kupata bwana mwengine na kuolewa naeKama anajeuri hiyo amtengeneze underground mmoja kama alivyokua yeye amfikishe hata nusu ya level alofikishwa yeye...
sawa vzrimkuu ukiogopa kufeli ww sio mwanaume rijali!..mlitaka konde boy awe km chumvi umri wa kustaafu bdo anachekelea kua mtumwa?!
alikiba kaingiaje hapa???Hiyo number 7 ni muhimu kwake asipoelewa atajikuta anaenda shimoni diamond ndio amemfanya maarufu nivizuri akamrespect na asikubali kuchonganishwa nae la sivyo atakuwa Kama alikiba wa sasa.
Amesema wap anaumia...... Ila wabongo ww wape picha stor watakupa wenyewe [emoji23][emoji23]Anaumia kutoa milioni 500..? Kama nakumbuka vema kuna Interview ya Diamond alisema kutoa ile nyimbo ya kwanza ya Hamonize Aiyola iligharimu milioni 100. Je vip kuhusu gharama nyingine za kumbrand..? Ili awe Hammonize? Zinaweza kuwa hazikufikia milioni 500? Kwa miaka yote mitatu?
Kama ya kuitwa Hamonize alikuwa na uwezo wa kuingiza tsh ngapi?
Lingekuwa jambo jema asizungumzie kuhusu mkataba wake na alikotoka kwenye media, sbbu kinachotokea sasa headline kwenye media zote ni tsh milion 500.
Correction Point...Ilikuwa 18 Million BossIzo mil mia 500 mbona mondi ali daiwa na papa misifa baada ya kuvunja mkataba .aka lipa kidgo kidgo kwa makubariano adi ika isha...apo ni miaka ya 2011,12 nazani .. sasa leo wabongo wanaona ajabu sana
Bado Mpeni Muda...Taratibu Ataanza Kufunguka...Sasa Hivi Mapema...Unawajua Wamakonde Au Unawasikia???...Tena Wa CHITOHOLI Ndio Wacha Kbs...Watani Zangu Hao Nawajua VyediKonde boy nimefatilia interview zako karibia zote toka ulipotoka wcb...umeonesha heshika kubwa kwa lebo yk iliyokutoa na hujawai kuiprovoke kwa namna yyt ile
Lkn kuna kila dalili kua wcb co wenzko tena na hakuna ht m1 anaekuombea mema.
kwhy move on fanya yak achana na mambo ya kumlamba binadamu mwenzio miguu ht km alikusaidia..
pambana kivyako ukifeli utaanza 1 hakun cha ajabu
Kinachonisikitisha Kumuamini JEMBE NI JEMBE Kuwa Manager Wake...Daaah!!! Hapa Ndipo Alipokanyaga VIMA Akaruka JOKOM...Time Will Tell...Ifadhini Hii Comment YanguKama anajeuri hiyo amtengeneze underground mmoja kama alivyokua yeye amfikishe hata nusu ya level alofikishwa yeye...
Mond alitokea kwa bob junior. Mbona siwasikii mkisema akazoe mavi aliyo kunya kambini?Ni zamu ya konde boi kila kona... Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu...
Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka... Mkulima keshasahaulika.... Nina machache kwakwe Konde boi
1. Kipaji adimu/adhimu.... Hili halina ubishi.. Kipaji kipo hasa cha utunzi wa nyimbo zinazogusa hisia... Na midundo inayohamasisha kucheza... Lakini daima mkumbuke aliyekushika mkono, aliyekulea, aliyekukuza... Aliyekutoa kusikojulikana mpaka leo upo hapo ulipo... Mheshimu sana huyu.... Ana mustakabali juu yako... Usikubali kamwe kutumika ukamkejeli kumtusi ama kumsema vibaya
2. Ni haki yako kuondoka WASAFI... kwa lugha nyingine tunasema mwana kakua... Na kama ni shule tunasema umehitimu.... Nenda kwa amani, aga kwa furaha... Shukuru kwa kila jambo... Kaanze maisha mapya kwa miguu yako mwenyewe na kwa kujiamini... Lakini kamwe usinyee kambi... Usiteme bazoka kwa njugu za kuonjeshwa...
Hao wanaokusifu na kukupamba leo ndio hao hao walikudhihaki na kukutema mate huku wakikumbia miaka mitatu tu iliyopita...
3. Punguza kuiga... Kuwa na ubunifu mpya.. Japo wanasema learn from the best lakini angalia unaiga nini.... Ili isionekane kama ni copy n paste.... Utajimaliza.... Hapa wanakusema na haya na mengine mengi
. Aliponunua V8 jipya ukajibu mapigo
. Ameanzisha FM radio nawe unataka kufanya hivyo...
. Alipoenda Tandale na kugawa misaada ukaenda kariakoo...
4. Ziepuke hila za wanasiasa... Wanakuona sasa kwakuwa kuna watu wamekupika na kuna hadhira ikakupokea.... Wanasiasa hawana marafiki wa kudumu bali wana maslahi ya kudumu.... Hadhira iliyokufikisha hapo haiko kwenye kundi la wanasiasa . ni fans wako toka imani tofauti, vyama tofauti, itikadi tofauti nknk... Usiikosee na kuipa kisogo ... Ikishajigawa kwa matendo yako... Mbele yako iko mashakani.... Wanasiasa wakutumie kwa faida huku ukibalance.. Epuka ahadi za uongo
5. Waangalie watu wanaokuzunguka sasa na kukusujudia... Wanafanya hivyo kwakuwa unacho cha kuwapa na wanafaidika na wewe... Punguza ziara zisizo na tija... Chagua ya kuongea... Angalia unaongea nini na nani na wapi... Usikubali kamwe kuchonganishwa na walezi wako....
6. Wewe ni msanii sio mwanasisa... Achana na hizi ziara... Rudi kajichimbie utoe vitu vipya vikali zaidi... Muda unaopoteza utakugharimu labda tu kama hutaki kurudi kwenye gemu kwa matumaini ya ahadi ya ubunge....
7. Kuna kitu kinaitwa asili... Asili pia ni shina ama ni chanzo... Una asili na WASAFI na Mondi... Kamwe usikubali kugombanishwa naye.. Nasema usikubali... Shina ni shina tuu... Wakati unasubiri kumalizana na WASAFI... Usirukeruke... Hawa wapambe kila kona wanakupoteza na kukupotosha pakubwa.....
Nitaendelea panapo majaliwa
Ndimi Jr fan wa kazi zako......
Hivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!
-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!
Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi
-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo
-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha
UNAFIKIIIII
Hii ndio yenyeweHivi Mmejifunza nini Toka Kwa Clouds Media Na Harmonize? Kuna Somo Moja Kubwa Sana Nimejifunza UNAFIKI! Hii ni MAIN THEME ambayo unaweza Itengenezea THEORY,UNAFIKI muogope Sana Mtu Mnafiki!
-Ingia ulaya yaliyotokea kwa harmo angekaa hata miaka 2 bila kuonngea chochote! Kinachotokea sasa kwenye Interview zake Zote itakuwa ni Kuhusu yeye na WCB na Sio mziki Wake Tena...!!! Akija kushtuka aanze kuongelea mziki Wake its too late! Sahizi Clouds watampeleka hadi Fiesta kwa Hela wanayo taka!
Turudi kwenye UNAFIKIII ,Unafiki ni Somo Kubwa sana Harmonize Ameprove kuwa diamond ndio alikuwa hataki amani na Clouds ila Yeye alikuwa anataka amani! Wakati clouds hawajaaahi cheza nyimbo zake hata kabla ya Diamond Kutofautiana Nao! Alie Sababisha Diamond Atofautiane na Clouds Ni Harmonize! Diamond Alikuwa anamkingia kifua harmonize pale walipo taka kumtumia kwa faida yao,Apige show hela ndogo Diamond Aligoma na ndio ugomvi ulipo anza lakini Diamond matokeo ya kufanya vile yalionekana harmo akawa ana heshimiwa na Anafanya show za heshima! Leo Diamond hata issue tena inaonekana alikuwa anamkosesha amani na Clouds! Kusema Nyimbo zake alikuwa hapendi ambapi hazipigwi clouds ni Unafiki nakumbuka kuna interview alifanya ana aliwaponda clouds na kuwapost insta! Eti leo hata Kutaja neno WCB kwenye interview hawezi
-Unafiki wa clouds kusubiri watu wagombane yeyw aponee hapo...Wamempoteza Aslay barnanaba sahizi Wanataka kumpoteza Marioo atafuata harmo
-Usijidanganyw ukaenda kugombea ubunge lisa ni kauli Ya Rais,Raisi ni Mwanasiasa Ambae anatafuta kupigiwa makofi mbele za watu! Rudi clip ya raisi mara 10 10 utajua raisi hakumaanisha
UNAFIKIIIII