Harmonize (Konde Boy) usiipe kisogo hadhira iliyokutoa jalalani

bi sandra mbona ivyo?
 
Kinachonisikitisha Kumuamini JEMBE NI JEMBE Kuwa Manager Wake...Daaah!!! Hapa Ndipo Alipokanyaga VIMA Akaruka JOKOM...Time Will Tell...Ifadhini Hii Comment Yangu
Esma tulia hata diamond mbona kuna babu tale nyuma yake na fella na salam sk.
 
level ya harmonize unataja barnaba wewe mzima kweli kichwani?
 
MIAKA MIWILI MBELE HARMONIZE ATAKAMATA UHODHI ( MONOPOLY) MARKET YA MUZIKI AMBAO DIAMOND ALIJIMILIKISHA.
 
Kale kadada kajinga kweli nlitamani nkatukane tusi kasikie, kalitaka kuleta za kuleta, ni kweli anastahili pongezi, Konde alijibu kistaarabu mnoooo
 
Alishaona kanakotaka kumpeleka.... Good enough harmonize alimu outsmart big time
Kale kadada kajinga kweli nlitamani nkatukane tusi kasikie, kalitaka kuleta za kuleta, ni kweli anastahili pongezi, Konde alijibu kistaarabu mnoooo
 
Ungemfuata inbox kwani ni lazima watu wajue kwamba umemshauri?

Tzii tataendelea kuchelewa tu kwa ajili ya husda
 
Uchambuzi uchwara

Marioo ana miaka miwili tu kwenye game i.e ndo mpya,ila wewe unasema watampoteza..Yaani unamlinganisha Aslay na Harmonize??..alipo Harmonize ni mbali ni yeye tu kupambana,Clouds hawawezi wakamshusha mtu ambaye tayari internationally amepenya kiasi
 
Kinachonisikitisha Kumuamini JEMBE NI JEMBE Kuwa Manager Wake...Daaah!!! Hapa Ndipo Alipokanyaga VIMA Akaruka JOKOM...Time Will Tell...Ifadhini Hii Comment Yangu
Dogo anashindwa kutofautisha money mongers na carrier mongers...hahahahaaa hiki kizungu bhana
 
Hii ngoma jamaa kama aliona mbele,vingi alivyoimba vimekuja kutokea..dah
 

Mshana Jr Mimi sio mshabiki sana wa makala zako lakini hongera sana kwa makala hii nzuri iliyojaa jumbe nzito kila mstari hasa hiyo point namba 7. Sina chakuongezea ila nami nimtakie KONDE BOY mafanikio mema.
 
Yaani nyie watangazaji wa clouds mnaupeo mdogo sana...sasa kwa akili yako umeona kabisa huo ni ushauri nimempa harmonize?
wewe chakupanga hauna uwezo kwa kumpangia harmonize cha kufanya wakati ana hustle kutoka ulikuwa nae ?
 
Mshana Jr Mimi sio mshabiki sana wa makala zako lakini hongera sana kwa makala hii nzuri iliyojaa jumbe nzito kila mstari hasa hiyo point namba 7. Sina chakuongezea ila nami nimtakie KONDE BOY mafanikio mema.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asante kwa hili pia
 
[emoji28][emoji28]iyo no. 3 kuna ka ukwel

V8 na BMW X6 kama za boss wake
 
wewe chakupanga hauna uwezo kwa kumpangia harmonize cha kufanya wakati ana hustle kutoka ulikuwa nae ?
We pimbi upeo wako peleka fb kwa wanafunzi wenzako.......unareply kitu hukielewi si upite kimya kuliko kujidhalilisha..ngoja nione umejiunga jf lini maana humu hamnaga watu wenye upeo mdogo kama wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…