Pesa ipi hiyo atayolipwa?Afanye kweli Sasa Asiishie kutoa vitisho tu, Kama akikomaa Kuna pesa nyingi Sana hapo atazipata toka kwa hao maboya endapo watafikishwa mahakamani na itatoa Funzo kubwa sana
Trade Mark ni pamoja na:-Mkuu ebu tusaidieni sisi tusiokuwa na elimu ya sheria, tupunguze kuminyana. Ebu tupe elimu ya trademark na Business names [emoji120][emoji120]
Kwani Hermonize ni nini kwa mujibu wa BASATA!?Pesa ipi hiyo atayolipwa?
Kwani watu wamefanya defamation ya brand inayoitwa Harmonize?
Picha au video zilizoonekana ni za mtu anayeitwa Rajabu na huyo ndio anayepaswa kufungua kesi kama anaona kuna sababu hizo...
Asante Sana Msomi, Sasa Je Harmonize, Tembo Na Jeshi Yamesajiliwa Kama BN au Slogan na anaweza Kushitaki kwa Hayo majina? Na Je Kuna Defamatory words yyote Ambayo Ipo Hapo?? [emoji120][emoji120]Trade Mark ni pamoja na:-
1. Business Name
2. Slogan
3. Nembo
Nk.
Vilevile watu huwa wanasajili ideas
Hiyo inaitwa Patent.
Ndiyo maana nilimwambia entities huwa hazisajiliwi pekee NIDA na RITA.
wadada wanasema dogo ana dushe zuriLakini si jana tu huyu mmakonde alituma picha yake akiwa uchi bafuni akaweka caption akiuliza mashabiki zake
🌶️?? au🥒??
Naona hizi ni dalili za kushindwa vita tu ameona ajikoshe.
Wasanii huwa wanasajiliwa BASATA na majina yao ya Sanaa.Asante Sana Msomi, Sasa Je Harmonize, Tembo Na Jeshi Yamesajiliwa Kama BN au Slogan na anaweza Kushitaki kwa Hayo majina? Na Je Kuna Defamatory words yyote Ambayo Ipo Hapo?? [emoji120][emoji120]
Unazungumziaje Ile demand ya Adv. Msemwa Kwenda kwa WATU anaosema kwamba wanasambaza Picha za Mteja wake, Je Kuna Defamation Case Hapo?Wasanii huwa wanasajiliwa BASATA na majina yao ya Sanaa.
Na mikataba yao ipo huko BASATA. kwahiyo majina hayo yapo huko.
Hata hivyo kuna COSOTA ambayo huwa inasajili mawazo.
Trade Mark zinasajiliwa BRELA.
Wasanii kuna vyombo vingi vinawahusu.
Nina swali pia kwa mfano Mimi nikaandika Kwenye WhatsApp group Kwamba Venus Star Ni Mtu Wa kuwauza wasichana kwa Wanaume halafu ukaja ukanishitaki kwa jina la Venus Star Company Limited Kwamba Ndio nimemdhalilisha. Hii ikoje kisheria Mkuu [emoji120][emoji120]Wasanii huwa wanasajiliwa BASATA na majina yao ya Sanaa.
Na mikataba yao ipo huko BASATA. kwahiyo majina hayo yapo huko.
Hata hivyo kuna COSOTA ambayo huwa inasajili mawazo.
Trade Mark zinasajiliwa BRELA.
Wasanii kuna vyombo vingi vinawahusu.
Mbona unahama tena kwenye mada!?Unazungumziaje Ile demand ya Adv. Msemwa Kwenda kwa WATU anaosema kwamba wanasambaza Picha za Mteja wake, Je Kuna Defamation Case Hapo?
Hakuna Charges Bali Kuna demand Ambayo Wakili ameiandikaMbona unahama tena kwenye mada!?
Sasa mimi nianze kuongelea suala LA Msemwa na mteja wake kweli!?
Hata hivyo sijaziona charges zilizopelekwa Mahakamani.
Vilevile Judge hajasikiliza hoja za mshitaki.
Naona unaenda nje ya mada. Unapouliza kitu jaribu kufikiria context ya hicho unachokiuliza.Nina swali pia kwa mfano Mimi nikaandika Kwenye WhatsApp group Kwamba Venus Star Ni Mtu Wa kuwauza wasichana kwa Wanaume halafu ukaja ukanishitaki kwa jina la Venus Star Company Limited Kwamba Ndio nimemdhalilisha. Hii ikoje kisheria Mkuu [emoji120][emoji120]
Una uhakika gani kama hakuna charges!?Hakuna Charges Bali Kuna demand Ambayo Wakili ameiandika
Labda tuanze na hili , Kwa nini Harmonize alitaka kumfunga Rayvanny Kwa issue ya Paula? Au alifikr Rayvanny hatafanya Comeback ya kibabe , kupitia huyo huyo mpenz wake Paula..... Alaf lawama abebeshwe Diamond ....waafrica hawana tofauti na wachawi. mtu anaetaka kukuzibia risk hana tofauti na mchawi. diamond najua ni mhusika mkuu alikibia aliwai kusema laiti angeeleza kuusu figisu diamond anafanya watu wangeshangaa. diamond ashapata pesa. kuwazibia vijana aliowatoa sio ishu nzuri.
Alitaka kumfunga kwa sababu wakati huo Harmonize alikuwa baba mlezi wa PaulaLabda tuanze na hili , Kwa nini Harmonize alitaka kumfunga Rayvanny Kwa issue ya Paula? Au alifikr Rayvanny hatafanya Comeback ya kibabe , kupitia huyo huyo mpenz wake Paula..... Alaf lawama abebeshwe Diamond ....
Unadhitishaje kama alikuwa Baba Mlezi? Ni vigezo Gani vinamfanya Mtu awe Baba Mlezi Wa Mtt ambae sio wake?Alitaka kumfunga kwa sababu wakati huo Harmonize alikuwa baba mlezi wa Paula
Sasa hiyo ya kuthibitisha unaniuliza mimi!?Unadhitishaje kama alikuwa Baba Mlezi? Ni vigezo Gani vinamfanya Mtu awe Baba Mlezi Wa Mtt ambae sio wake?
Cyber crime fine n million tano, defamation ulietenda kosa hua unaambiwa ukakanushe na uombe msamahaSheria aina umjini au umaharufu: kuna hii kitu Inaitwa DEFAMATION
Defamation is the oral or written communication of a false statement about another that unjustly harms their reputation and usually constitutes a tort or crime.
Lakini pia Cyber Law ya Tanzania ina vifungu vinaweza wapa hao anaowalaumu Kasheshe ya aina yake.Lets wait and see