Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Anayehaha nani hapa. Wewe na kundi lako linahaha. Harmonize akijamba mnaanzisha Uzi. Huu ni upunguwani.Mbna mnahaha Sana ,wazee msaidieni jomba nchumali
Jamaa ana Haha Hatari. Asubiri Juma3 kama Mwano Haujalia.Mbna mnahaha Sana ,wazee msaidieni jomba nchumali
Mwamba amelala juu ya paa msaidieni bhana kiroho Safi , keyboard warrior utaishia kutukana tuu sababu unayempambania ni useless kwenye battle groundAnayehaha nani hapa. Wewe na kundi lako linahaha. Harmonize akijamba mnaanzisha Uzi. Huu ni upunguwani.
Wewe ndiye keyboard soldier unafuatilia mwanajeshi anapambana wewe unaleta umbea JF.Mwamba amelala juu ya paa msaidieni bhana kiroho Safi , keyboard warrior utaishia kutukana tuu sababu unayempambania ni useless kwenye battle ground
Hiyo nyumba inakuhusu nini au unataka aikarabati ukaishi wewe na mmeo injinia?fanya yako dogoAmefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Hiyo nyumba inakuhusu nini au unataka aikarabati ukaishi wewe na mmeo injinia?fanya yako dogoAmefanya Uharibifu mKubwa Sana Kwenye Hyo Nyumba. Hata Baada ya Kupewa notisi na Mwenye Nyumba ya Kwenda Kukagua Nyumba akawa anapiga chenga Tu Kila Kukicha
Kwa hiyo tufanyeje?Taarifa nilizonazo Ni Kwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.
Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.
Soma Then achaKwa hiyo tufanyeje?
Umeenda choo kweli Leo!?Soma Then acha
Mwaka wa shetani dah!mama D, mwanao Harmo Kimeumana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1754488
Watu wapo serious na biashara zao hao mjiniHizi nyumba za kurithi ni nini ??
Unadai kodi nenda kwa mjumbe, polisi au mahakamani ??
Huu ni upungasese.
Mpunga wote alikomba Kajala , na alimkopa pesa ndefu Sana mshikaji , sasa mwamba amebaki empty headed huku nyeti zake zikiwa wazi ...ogopa Sana kitu mwanamke , kuna mengi mwanamke aliongea na Shetani pale Edeni...!!!Hivi hawa wasanii ni kwa nini wanaishi nyumba za kupanga? Wanavyotuaminisha kuwa wanamafanikio ni kitu gani kinawazuia kujenga nyumba ya kuishi? Wanavyopiga picha na maburungutu ya pesa na kuvaa vito vya thamani kama cheni, saa n.k inakuwa ni maigizo tu siyo?
Hizo show wanazopiga ambazo wanaonyesha kujaza watu, malipo wanayopata wanafanyia nini...?
Nyimbo wanazotoa ambazo huwa wanaonyesha kupata viewers wengi na kununulika kwenye platform mbalimbali malipo huwa hawayapati kwani...!?
Hivi msanii kama huyo Harmonizer ana hata kibanda cha kujisitiri kweli? Yaani itakuwa ni aibu kubwa sana kama atakuwa hana kibanda hata cha size ya kufugia kuku angali yeye ni balozi sijui wa crdb na tuliaminishwa deal hilo ni la takribani mil500!
Kodi ya hiyo nyumba aliyopanga nadhani ni zile apartment ambazo kwa mwezi si chini ya 1.5M, kwa mwezi kwa malipo hayo anashindwaje kujenga hata kule majohe ambako viwanja bei ni sawa na bure...!?!!
Zile cheni pale shingoni, anasema ni million ngapi vile..!?!
asante kwa umbea wa kiwango cha uchumi wa kati.Taarifa nilizonazo Ni Kwamba Msanii Harmonize Amehama alipokuwa Anaishi Kwenye Nyumba Ya Ghorofa Huko Mbezi Karibu Na Masana Hospital.
Mzee Mwenye Nyumba Yake Eng. Usiri amelalamika Kwamba Msanii Huyo Amehama usiku kwa Kuhamisha Vitu vyake Vyote Ndani Mpaka akachukua na Curtain boxer, Mpaka Sasa Msanii Huyo anatafutwa na eng. Usiri Hili alipe Kodi yake ya Miezi 6, na pia amefanya uharibu mKubwa Ndani Ya Hyo Nyumba.