Harmonize kweli wewe ni kiboko ya WCB

Harmonize kweli wewe ni kiboko ya WCB

Huyu mwamba kipindi anajitoa WCB yaliongeleka mengi sana kuwa Hana muda atapotea.

WCB walikuwa wanajiona wao ndio baba wa muziki hapa Tz hivyo ukiwa kinyume nao safari yako kimuziki itaisha.

Hawa jamaa si watu wazuri kabisa kwanza hawapendi ushindani wanapenda wao tu ndio wafanikiwe huu ujinga wamewajaza mpaka mashabiki zao.

Hongera Harmonize umewaprove wrong wamepambana sana kueneza chuki dhidi yako, ili watanzania wakuchukie lakini wamefeli.

Nipe mkono tushindane.
 
Kwani we umeona Harmonize kafanya Kitu gani kikiubwa baada ya kutoka WCB

Wmbo wenye views Zaid ya 20m[emoji777]

Collaboration Kali ya nje [emoji777]

Album iliyofanya poa[emoji777]

Mambo aliyofanya vizuri baada ya kutoka WCB

MIHADARATI [emoji3581][emoji3581]

Kiki[emoji3581][emoji3581]

Kujaza watu show Mtwara arena ...[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji736]

Kulia kwenye media[emoji3581][emoji3581][emoji736]..
😂😂😂😂
 
Njooni mtueleze hapa huyo Mmakonde amefanya cha maana kwenye huu mziki wake

Tofautisheni mafanikio ya mziki na kuimba imba ilimradi
 
Back
Top Bottom