Harmonize mshitaki Tundaman kwa kukuharibia wimbo wako " Yanga hii inafungwaje"

Harmonize mshitaki Tundaman kwa kukuharibia wimbo wako " Yanga hii inafungwaje"

Tunda ni tunda tu.. inafikirisha mwanaume kujiita tunda.. au wewe upo tayari kuitwa tunda?
Man ni neno la kiswahili? Hujui unachoongea wewe.

Tundaman ni mwanamume anayependa matunda.

Ladies man ni mwanamume mpenda papuchi.

Umeelewa?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mbona umeandika kama Khadija kopa wanaume tunazidi kupungua duniani katika kila wanaume 10 basi mashoga wenye tabia za kike wa 3
 
FB_IMG_17306109002611231.jpg
 
Mmepigwaaaaaaa full stop....nenda kwny page ya Tunda man...Harmonise kacoment tena kwa kucheka mnooo..
Li wimbo limebumaaa...
 
Jana Yanga kafungwa na Azam umekurupuka umeimba kava ya wimbo wa Harmonize " Yanga inafungwaje" Umeufanya uonekane kama wimbo wa maombolezo vile kwa sababu ya sauti yako ya kimaombolezo maombolezo.
Lakini si kuna maombolezo? Alipaswa apongezwe
 
Silaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......!!! Sila ana roho mbaya yule jamaa akapiga mshuti kama anaua tembo.
 
Back
Top Bottom