Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mxxiewwww
Huyo kachamba, hajachana lolote hapo huyo mmakonde yeye aseme anataka gari lake linamuuma

Ningeshangaa maex wa ki Tz muachane kistaarabu bila hekaheka za kutoleana shit subutu
Nakuacha alafu unaenda kuniita CHIZI sasa ngoja nikuonyeshee UCHIZI wangu ulivyo natema nyongo 😆
 
Ila kwa Harmonize amezidi kiasi cha kuonekana kama anaigiza
 
Huyo maza ana reality show? Channel gani?
 
Nakuacha alafu unaenda kuniita CHIZI sasa ngoja nikuonyeshee UCHIZI wangu ulivyo natema nyongo [emoji38]

Sasa kwann asimuite CHIZI km anaacha watoto wenzie anaenda kuku kuruka na watu ambao kunyoa vuzi mpk nyembe 2 [emoji23][emoji23][emoji23]

Hata mimi ningemuita CHIZI FRESH
 
Sasa kwann asimuite CHIZI km anaacha watoto wenzie anaenda kukuruka na watu ambao kunyoa vuzi mpk atumie nyembe 2 [emoji23][emoji23][emoji23]

Hata mimi ningemuita CHIZI FRESH
Duuuh na wewe vuzi lako unatumia nyembe ngapi kulinyoa?
 
Kwa sababu wabongo upenda hizi mambo so kwao ni biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…