Harmonize na Kajala wazidi kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii

Huyu mtoto ushamba na ulimbukeni vinamsumbua hiyo ndiyo ile wanasema "Masikini akipata matako hulia mbwata"
Mambo gani ya kumsimanga Mwenzio ilihali ulimsaidia kwa mapenzi yenu lakini leo mmeachana unasema kila kitu ulichomfanyia!

Inamaana hamjaona kajala kamsema sana ni muda tu hamo kakaa kimya
Kuna kitu hamjaelewa
Kajala aliachana na hamo lakini alikuwa hajui sababu ya kuachana ni nini,leo hamo kaongea nadhani kajala hatokuja kumuongelea tena ameshajua alikosea wapi
Inshort kajala aliiba kadi ya gari na hamo hakumuuliza aliamua kumuacha kimya kimya
Mwanamke ukimuacha kwa style hio lazima aumie sana
Kajala alijua hamo hawezi muacha labda alikuwa anatumia madawa etc ila kitendo cha hamo kumuacha bila kumpa sababu ndio kimemfanya aweweseke
 
Hamna namba zao nipige nao threesome mama na mwanae maokoto uhakika
 
Kajala anampenda mjomba nchumali.

Njomba nchumali nae ni chizi, amekosa UJENTROMENI ndani yake.
Yote 9, angeomba mtu awe anamuandikia, hii ni fedheha.😂

Pamoja na muandiko mbovu mjimba ncgumali huwa anaandika ngoma kali saana.
 
Warudiane tu mpambano unoge zaidi
 
Pamoja na yote lakini anatakiwa ajue kwamba yeye ni mtoto wa kiume hatakiwi ashindane na mtoto wa kike kujibizana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huwa hucheki kama mimi...
Ila wamedumu wenyewe...

Niliona clip whozu kavaa mshati km braza K afu anafokewa na Wema khaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliona clip whozu kavaa mshati km braza K afu anafokewa na Wema khaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameamua wenyewe kwenda kwa walezi wao acha wafokewe tu, mwisho wachapwe fimbo kabisa. We mtoto mdogo unaenda kulivamia "shentele" kama wema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…