themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
Ukiona haina maana jua it wasn't designed for youHahaha kuna target audience...wenyewe wanaona ni hit kali...sisi tubaki na zilipendwa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona haina maana jua it wasn't designed for youHahaha kuna target audience...wenyewe wanaona ni hit kali...sisi tubaki na zilipendwa tuu
@Mshana Jr seems kwamba wale wote wanao mzunguka harmonize sio wasomi kwa maana nyingine hawajui wanafanya nini wako wako tu?Natambua uwezo mdogo wa wengi wetu wa kuchambua mambo hivyo inanibidi kila wakati nitoe ufafanuzi.. Na wengi kati yetu huwa hatusomi mpaka mwisho bali hukurupuka ku comment..ungekuwa umesoma hij para wala usingekurupuka kujibu ulichoandika[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Harmonize ni nmojawapo aliyekosa elimu kwa sababu zozote zile na kuja kuibukia kwenye sanaa ya mziki.. Na amefanya vema kwakweli mpaka hapo alipofikia.. Kutompongeza kwa hili ni wivu.
Katika njia yake ya kutafuta mafanikio zaidi amejikuta anakabiliwa na changamoto kadhaa ... Ambapo anahitaji timu makini, somi na yenye weledi kuweza kumvusha.
Thats exactly target audienceUkiona haina maana jua it wasn't designed for you
Niko celebrity huku nadhani hii ndio level ya uandishi wake! All in all hata kama anao watu smart bado kuna kushauriwa vibaya, utayari wa kushauri(wa), na ubishi wa kipokea ushauri,, Ama la kuna mambo anayaona ni yake binafsi yasiyohitajj mwongozo wa management@Mshana Jr seems kwamba wale wote wanao mzunguka harmonize sio wasomi kwa maana nyingine hawajui wanafanya nini wako wako tu?
Your too smart bro nadhani unaweza kuandika na kuja na logic critics zaidi ya hicho ulicho andika
Wakili apimwe mkojo. Hii nayo ni ya kuita "TAARIFA KWA UMMA?"
Hauna kapicha kake? [emoji39][emoji39]
Manu Lima ndo katengeneza albums 3 kati ya 4 Bane (1990) Adia (1995) na Saga (2006) ni Seva (2001) ambayo Manu hakuusikanimeskia producer wake alikuwa anaitwa manu lima
jamaa ndio kawatoa wengi sana amehusika album zote za ngoma kasoro moja tu du
Nazopenda sana Ni ngé na Julie
Yaani ndugu nakushauri utafute tu album za Bane, Adia na Saga uta enjoy sana ukiwa na nyimbo zote za album hizingoja nizitafute huyu jamaa huwa hakosei ndugu