Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Harmonize ni mbumbumbu wa sheria, mchanga wa mahusiano na mshamba bado wa umaarufu

Keshakimbilia mahakamani

Toka Jana hii, kapost na picha yupo na mkuu wa majeshi. Walikutana kwenye msiba.
 
Paka mate iteleze Kama nyoka pangoni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, good morning chwitiii
😂😂😂😂😂😂daah sawa tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe dogo sana
Huyu makonde anaonyesha umakonde wake. Yani umemdefine vizuri sana Kama mtu atabishia maneno yako,basi ni mapenzi yake binafsi yamempofusha hawezi kuona lolote tena dhidi yake zaidi ya anaonewa
 
Mbona sheria iko wazi juu ya haya waliyofanya akina rayvanny na baba levo mtani? Ni kama unamkanyaga harmonize in a smart way.. he might be very arrogant lakini haiondolei ukweli kwamba amekosewa. Why spreading his videos? Ushamba wake uko wapi? Aisee
 
Mbona sheria iko wazi juu ya haya waliyofanya akina rayvanny na baba levo mtani? Ni kama unamkanyaga harmonize in a smart way.. he might be very arrogant lakini haiondolei ukweli kwamba amekosewa. Why spreading his videos? Ushamba wake uko wapi? Aisee
Mtani pengine hujanisoma vema.. Sina tatizo na Harmo, wote sisi ni wakuja hapa mjini ila kilichopo ni kuchelewa kujifunza ..
Kesi yake huwa faini ni milion 5 sijajua kifungo ni miaka mingapi
Ushamba ninaouzungumzia ni kule kusema atawadai mabilioni ya fidia kisha atawafunga.. Kwenye sheria ni nadra mtu mmoja kupata adhabu hizo mbili... Lakini kati ya wote ni nani kati yao animiliki walau usd 50000 bank?
Ushamba wa pili ni kule kuToka na Kajala na kurusha mapicha mitandaoni.. KAJALA! ..Mbona wengine wanamega kimyakimya na kusepa? Hapa aliingizwa kingi na akaingia mzima mzima
Ushamba wa tatu ni kurusha picha akiwa na mkuu wa majeshi na pembeni yake akaweka taarifa ya mtuhumiwa wake mmoja kulamatwa! Seriously huu ni USHAMBA..

Kwa wenye uzoefu wa haya mambo huwa wanakwepa sana sehemu panaitwa polisi huko unawapelekea watu ulaji wa bure kabisa..kumshtaki mtu sio kumfunga

Harmo ana kipaji, ana bidii ya kazi ana mafanikio kwa kiasi chake..ana maadui pia... Akiacha ushamba na akawa na akili kubwa ataachana na hivi vitu vya kijingajinga na kupiga kazi
 
KWA ILIPOFIKIA NAOMBA HILI SUALA LA RAYVANNY NA HARMONIZE LIISHE KINDUGU
CC: Perfectz
 
Mtani pengine hujanisoma vema.. Sina tatizo na Harmo, wote sisi ni wakuja hapa mjini ila kilichopo ni kuchelewa kujifunza ..
Kesi yake huwa faini ni milion 5 sijajua kifungo ni miaka mingapi
Ushamba ninaouzungumzia ni kule kusema atawadai mabilioni ya fidia kisha atawafunga.. Kwenye sheria ni nadra mtu mmoja kupata adhabu hizo mbili... Lakini kati ya wote ni nani kati yao animiliki walau usd 50000 bank?
Ushamba wa pili ni kule kuToka na Kajala na kurusha mapicha mitandaoni.. KAJALA! ..Mbona wengine wanamega kimyakimya na kusepa? Hapa aliingizwa kingi na akaingia mzima mzima
Ushamba wa tatu ni kurusha picha akiwa na mkuu wa majeshi na pembeni yake akaweka taarifa ya mtuhumiwa wake mmoja kulamatwa! Seriously huu ni USHAMBA..

Kwa wenye uzoefu wa haya mambo huwa wanakwepa sana sehemu panaitwa polisi huko unawapelekea watu ulaji wa bure kabisa..kumshtaki mtu sio kumfunga

Harmo ana kipaji, ana bidii ya kazi ana mafanikio kwa kiasi chake..ana maadui pia... Akiacha ushamba na akawa na akili kubwa ataachana na hivi vitu vya kijingajinga na kupiga kazi
Ooh, hapo sawa...
Management yake ina kazi ya ziada. Sijajua kwann wamekubali aendelee kufanya hivi.

Amekosea. Amekosea sana. Yawezekana pia na yeye kwa kajala anajiwekea tuu mazingira ya kibiashara[emoji23] moyo wa mtu kichaka mtani. Nadhan kukosa shule pia ndo maana hajui selection ya mwanamke gani wa kuwa naye. Kajala naye depe tupu lingine. Hata mpitaji anayeenda pale nate hana akili. Nachosikitika tu ni vijana kutokuogopa chain ya kupokea mbaazi. Yaan jaman ikibidi wazazi wawe wakali juu ya watoto wao kwanza juu ya elimu ndo waingie humo.

Huu ujinga huwezi ona ukifanywa na graduates kama Mwana Fa, nikki wa2, mbishi, marehemu cpwaah, prof jizze bila shaka mbali na kwamba ana busara zake, AY, GK etc. Sijawahi ona upuuzi kwa hawa watu. Ila sasa hawa wapuuzi wa la saba B, form 2, etc dah.

Mbali na yote... wasafi ndo washamba zaidi kupost maumbile ya mtu wakijua ni kosa. Unakaaje na clips kama hizo za mwanaume mwenzako? Africa hii mwanaume hadhaligikagi zaidi ndo anaonekana mwamba.
Mwanamke ndo anadhalilika. Sasa kajala ndo akili yake imefikia hapo na ndo mentor wa binti yake. Sote twaona diamond alivyopooza. Hata akitoa wimbo siku mbili tatu umesahaulika.

Waache ushamba wote
 
Inajulikana wazi hawa mabinti vibibi wa bongo movie walivyo machunaji na wapenda pesa na matajiri wa skendo... Hawa wapo tangu enzi za mapapaa kina Msofe, wazee wa bandari, wauza unga, watoto wa mjini nknk.. Leo hii ndio aje kudate nao na kurusha picha za mahaba mazito mitandaoni!? Haya ni majambazi ya cash..na yakishakuchuna na kukuchoka yanakutengenezea skendo kisha yanakupiga chini.
Ndio hivyooo
 
Natambua uwezo mdogo wa wengi wetu wa kuchambua mambo hivyo inanibidi kila wakati nitoe ufafanuzi.. Na wengi kati yetu huwa hatusomi mpaka mwisho bali hukurupuka ku comment..ungekuwa umesoma hij para wala usingekurupuka kujibu ulichoandika[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Harmonize ni nmojawapo aliyekosa elimu kwa sababu zozote zile na kuja kuibukia kwenye sanaa ya mziki.. Na amefanya vema kwakweli mpaka hapo alipofikia.. Kutompongeza kwa hili ni wivu.

Katika njia yake ya kutafuta mafanikio zaidi amejikuta anakabiliwa na changamoto kadhaa ... Ambapo anahitaji timu makini, somi na yenye weledi kuweza kumvusha.
Watasoma vipi mpaka mwisho ilhali wamepofushwa na mahaba,yaani kwao inatakiwa uwe upande watakaokubaliana nao.
Hivyo mtu akianza kuusoma uzi akaona ufafanuzi unaoutoa si wa kumsifia wampendaye basi unahukumiwa hapo hapo kuwa uko ng'ambo ya pili wasiyoitaka wao.
 
Watasoma vipi mpaka mwisho ilhali wamepofushwa na mahaba,yaani kwao inatakiwa uwe upande watakaokubaliana nao.
Hivyo mtu akianza kuusoma uzi akaona ufafanuzi unaoutoa si wa kumsifia wampendaye basi unahukumiwa hapo hapo kuwa uko ng'ambo ya pili wasiyoitaka wao.
That's why naenda nao kwa tahadhari kubwa ili waweze kuelewa muktadha wa mada bila kuharibu mtiririko wake na post yote kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom