Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

yaani usikute kwa sababu hizi umeolewa na mwanaume mwenzio mahali, unakata vitunguu
 
Hii komenti irudiwe mara kumi.
 
Sina timu ila nimeangalia mahojiano ya konde ana hoja ya msingi yeye amekubali kwamba D amemfanyia wema ila anachopinga D kuendelea kumuwekea vikwanzo hata kama mtu umemsaidia akishindwa kukupa shukrani ndio umtengeze zengwe la Fitina hii si sawa.
Nimemsikiliza tena Harmo sasa hivi tena kwa utulivu maana jana nilikuwa kwenye makelele!

Asee nimefuta mpaka comment yangu[emoji849][emoji849]

Domo hafai
 
Kuna kipande namsikia harmonize anasema kuwa wasafi festival mtwara huko .harmo alikuwa aimbe na mond nyimbo ya mwisho ila mond kuona shangwe kubwa hakupanda nae .wakati harmonize anashuka mkubwa fella anasema unaonaaaaa dogo atakuua huyu.!!!! Akimaanisha kuwa mond atafunikwa na harmonize au atarogwa awe chini ya Harmonize.

Mimi sio shabiki wa mziki ila hichi alichosingiziwa mmakonde kipo sana sehemu yenye riziki .pia wazee wa wcb walikuwa wakisema harmo aliwaambia mashabiki kwa kilugha kuwa wasimshangilie mond kwenye jukwaaa.mmakonde kapitia mengi.ndio maana katoka wcb kanenepa faster.
 
Sakata looteee la harmo kutoka wcb ndilo lilomzima rayvanny. Jamaa alikua anakuja juu sana ila siku hizi kapoa mno hata label yake inasua sua angeweza mae kujitoa itakua kaona yanayompata mwenzie,kaamua kujituliza hapo hapo
 
Sijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???

Sema nn hata mm albam yake inanipa ugum sana kusikiliza hivyo viingereza hapana aisee pia inaonekana hashauliki ilipaswa akae kimya tu huko mbelen tungemjua tu nan mbaya
 
Hizi zote ni kiki tu, hawa wote wanajuana na wanajua wanachofanya...
 
Reactions: Qwy
Sema nn hata mm albam yake inanipa ugum sana kusikiliza hivyo viingereza hapana aisee pia inaonekana hashauliki ilipaswa akae kimya tu huko mbelen tungemjua tu nan mbaya
Mbeleni lini? Kijana amezungumza ukweli, kijana ana moyo hatari, ingekuwa mtu mwingine hiyo vita isingekuwa ya nchi hii, kimsingi
Tale
Mkubwa Fela
Salama
Diamond
Hawa watu ni kama wale wachungaji wanaotumia dini kumbe ni wafiraji tu, anyway if could be nimelipa 600ml wasingenichelewesha contract even a single minute..Niichojifunza huyu kijana alikuwa anafanya mambo mengi bila lawyer wa upande wake,
 
Wewe hauna uelewa wowote nimegundua una ushabiki wa kijinga, nimekupuuza ulivyosema korokoroni na unyonyaji.

Unavyojiunga na kampuni yoyote unepewa mkataba Kisha unasoma matakwa yake, label ya WCB inamilikiwa na kampuni ya Wasafi limited ambayo diamond CEO kwa hiyo kama umekubali kufanya kazi maana yake uko tayari kufauata matakwa ya mkataba wako wa kazi. Unyonyaji unatoka wapi acha kuwa mjinga harmonaize alikuwa muajiriwa kwa hiyo kuchukua 40 ya 100 sio hiyo nyingine ni kwa ajiri kuendesha kampuni.

Acha urofa basi mwanangu usiegemee upande mmoja
 
Umesikiliza hiyo interview ya Harmonize ??

Hiki kizazi kwanini kina vijana mataahira sana ???!!
 
Umesikiliza hiyo interview ya Harmonize ??

Hiki kizazi kwanini kina vijana mataahira sana ???!!
Acha kujitapa mjuaji kumbe fala tu, una welevu gani kuita wenzako matahira wakati akili yako hainonekani iko wapi, unazidi wengine nini? Mimi nimeangalia na kusukiliza kila kitu wala simpi credit yote aliongea fitina, husda na roho mbaya ya diamond ni vitu vya kawaida na ndio hulka za kibinadamu.


Ila hoja yangu ipo kwenye approach anayotumia kurudisha mashambulizi na yeye kulialia kuhusu kulipa deni kama fidia ya uwekezaji uliomfanya kuwa biashara
 
team domo mmeanza kazi
 
kati ya nyimbo 59 za konde ni nyimbo tisa tuu wasafi ndo walitoa gharama zao
 
Nimesikiliza intavyuu yote kwa umakini kabisa ila nlichogundua ni kuwa "MFA MAJI HACHOKI KUTAPATAPA"
Watu wamehadaika na hii interview sehemu ndogo sana kuwa "hakuna mtu anayeweza kujichafua mwenyewe wakati wa kujitetea"

Harmo kashindwa kumove on kabisa... Lebo yake inasustain kwa vile imeelekeza nguvu kubwa mashambulizi kwa wasafi

Kama anapigwa matukio ni vile naye kila kukicha haishi kuelekeza mipasho kwa wasafi. Hamna anayependa kuchafuliwa
 
kwenye interview sijaona akijilinganisha na mondi zaidi kasema yeye kwa mondi bado mdogo.

alikuwa anaeleza jinsi alivyofanyiwa fitna hadi akaamua kuondoka wcb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…