Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

konde lini kaitisha press
 
Ila hili jiwe la mihadarati huko gizani lilikorushwa limempata mbweha husika kabisa yaani... Maana si kwa kutapika huku....

Kajiwe ka Daudi kalikompofoa Goliath ndo kinachotokea sahv... kupapaswa tu ngozi mmakonde kamwaga minofu yote. Kasahau kuwa na kesho ataguswa kwny mfupa kabisa? Hiyo minofu itakuwa ishageuka uozo... Na ndo mwanzo wa mtu kupotea kimziki
 
Kamuulize basha wako anayekukaza kama ana kila timamu kukaza mshenzi aina yako usiye na adabu kwa wenzako
Yule basha aliyekufira mpaka kukupasua puru kwa ofa ya konyagi umeshamuacha ???
 
Watu wa kusini sio watu
 
Wanaumia kwa lipi wewe compare number zake tokea yupo Wasafi na leo hii, compare streams alizokuwa akizipata tokea Wasafi, alivyokuja kutoa album yake ya kwanza na leo hii ana ya pili cheki number zitakupa majibu.
Haijlishi bwana weee..kumbuka wasafi ni timu kubwa then kwa sasa ni one man show we unategemea kwa mazombie mlivyo na utimu Harmo awe kama alivyokua wasafi?

Kwa upande wake anapambana sana dogo tena mnooo!!wangapi hawajafikia Levo zake Konde?
Yaani kumlinganisha kwa sasa Konde yukk vzr kwa sababu kule the team was big na wasanii wote wanatembela nyota ya wasafi ukitoka umeumia kabisa unapotea totally kwa gemu ila dogo still anakaza kimtind.

Kumlinganisha ni kwamba mi naona kivyake anafanya vzr mnoo!
 
Nashukuru raisi kwa kuniokota jalalani.
 
Huu uzi wengi wamecomment kufuatana na mahaba yao na si uhalisia na mambo. Hata kusikiliza Konde boy alichosema hawajasikiliza. Kweli mahaba yakikujaa unakua upofu
 
Ilu mjue alikuwa anateseka kisaikolojia angalia baada ya kutoka huko hata mwili umekuja ... wachafu klasiki beibiii mtachomwa na kuni zenu maalumu huko jehanamu
 
Sasa mbona yuko huru na bado hajamshinda huyo diamond??

Maana labda tutasema wakati yupo wasafi alikuwa anabaniwa sasa kinachofanya mpaka sasa anashindwa kumzidi ni nini?
 
Ilu mjue alikuwa anateseka kisaikolojia angalia baada ya kutoka huko hata mwili umekuja ... wachafu klasiki beibiii mtachomwa na kuni zenu maalumu huko jehanamu
Angalia usije ukawa kuni.
 
Vipi kuhusu Lava Lava na Queen Dareen.
 
Sasa mbona yuko huru na bado hajamshinda huyo diamond??

Maana labda tutasema wakati yupo wasafi alikuwa anabaniwa sasa kinachofanya mpaka sasa anashindwa kumzidi ni nini???
Yeye kasema anashindana naye, anataka kumzidi ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…