Diamond ataendelea kuwa msanii namba moja kwa muda mrefu kidogo. Kwa hiyo wanaomchukia endeleeni kuugulia maumivu bado mna safari ndefu ya maumivu.Kiukweli Diamond Platnumz amepigana vita nyingi sana mpaka sasa kiasi kwamba amekuwa nunda.
Kama unabisha lete mkono.Huniwezi kiserikali,uchawi na kimziki[emoji2]
Agodai for you....daaaaaaaaaaaa......😂😂😂😂😂😂
MkuuMambo yanakwenda kasi sana, joto linazidi kukimbiza huku jua likichoma kishenzi. Wakati tukifikiria ni kwa namna gani tunaweza kusurvive huku maji na umeme vikiwa shida, wasanii nao wanaibuka na mambo yao, yaani ni shida juu ya shida.
Inawaumiza lakini inabidi wazoee kwa sasa mpaka atapopata replacement.Diamond ataendelea kuwa msanii namba moja kwa muda mrefu kidogo. Kwa hiyo wanaomchukia endeleeni kuugulia maumivu bado mna safari ndefu ya maumivu.
Hakuna cha kupanikisha, kijana anajua wapi pakupatia attention ndio maana mambo yake yakikwama anarudi na story za Diamond ili aongelewe.Mataga wa madale mmepanic kweri-kweri
Relax kijana.Hakuna cha kupanikisha, kijana anajua wapi pakupatia attention ndio maana mambo yake yakikwama anarudi na story za Diamond ili aongelewe.
MITANO TENAKiukweli Diamond Platnumz amepigana vita nyingi sana mpaka sasa kiasi kwamba amekuwa nunda.
Ukitaka ushindane na Diamond usitie huruma maana unapoteza pambano kirahisi sana.
Kweli asee twinMimi mtu akisikiliza Interview ya Harmonize ya jana halafu bado anamtetea Diamond, napata wasi wasi wa akili yake.
Diamond ana roho mbaya hataki azidiwe, ila nyimbo zake nzuri mwee nazipenda sema karoho kake ndiyo maana hanenepi!!
Mtu anamkunjia mwenzie kama nini!! asingesaidiwa angefika alipo?
Kwani Ruge alitupiwa vijembe na Diamond peke yake?Kuanzia Bob Junior,Shetta ,Ommy Dimpoz ,Alikiba ,Diva enzi hizo akiwa clouds ..hao wote kwanini Diamond tu? Vijembe aliyokuwa anamtupia Ruge na Mawingu sasa hivi ndo vinamrudia yeye.
Ajikaze tu ila hafai kama ni mfupa haufai hata kwa supu
Kweli kabisa, yaani me nimeumia sana kwenye ile contract termination mpaka msaada wa JPM ukahusikaNimeisikiliza interview mwanzo mwisho, itoshe kusema Diamond Platinumz ni binadamu katiri, mnafiki na mwenye roho mbaya sana.
Tatizo shule ndogo yule muha[emoji848]Hahahah biti maandazi kwakweli...
Mmakonde anatafuta kiki.relax kijana.
mmakonde amewaaacha uchi, kuchutama ni uungwana
Diamond ndio jina la mchezo.Diamond hakika wewe jamaa ni hatari nimekuchukia hadi najiona mimi mjinga. Kwasababu hapa mjini ni wewe tu ndio unaonekana sisi wenGine tuonekana mbuzi
Maana kila mtandao Diamond diamond diamond diamond
Sasa kama hakuna kipya huu uzi umeufungua wa kazi gani 🤣 🤣 🤣Mmakonde anatafuta kiki.
Hakuna jipya la kumuacha mtu uchi yote yalishasemwa.
Kama dingi yako tu
Uzi kwa ajili ya Diamond Platnumz.sasa kama hakuna kipya huu uzi umeufungua wa kazi gani 🤣 🤣 🤣