Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Yes..hapo ame play his last cards na hatokuwa na kitu chochote against WCB after this. Na kwa ninavyowajua wa Tz...udaku huwa wa moto ila after sometime utapoa nguvu yake.

Anawachafua his opponents while seeking public sympathy at the same time. Anasahau kuwa ni pesa na assets alizozipata akiwa WCB ndizo zilimfanya aweze kulipa asilimia kubwa ya 600M.

Hii pia inamfanya asiwe trusted na some investors ambao pengine walitaka kufanya nae some business...eg alipoanza kusema issue za kina Kusaga na Wasafi.
 
Na kwanini tusimuonee huruma yule ambaye amedhulumiwa kukifikia kipaji chake kikuu kama vile tunavyomwonea huruma kilema?
 
Kumbuka hiyo 40% ni nyimbo mbil8 tu kwa mwaka. Na nauli na vitu vingine vyote unalipq mwenyewe ikiwemo fines
 
Kumbuka hiyo 40% ni nyimbo mbil8 tu kwa mwaka. Na nauli na vitu vingine vyote unalipq mwenyewe ikiwemo fines
Nyimbo mbili kwa mwaka na unajigaramia vitu vingine...so na wewe ukaamini aliyosema mmakonde ni ya kweli?

Yaani mtu aliyekuja label hana kitu.....aliwezaje kujigharamia mambo mengine...?
 
Nyimbo mbili kwa mwaka na unajigaramia vitu vingine...so na wewe ukaamini aliyosema mmakonde ni ya kweli?

Yaani mtu aliyekuja label hana kitu.....aliwezaje kujigharamia mambo mengine...?
Kuna watu walishaamuaga kumchukia diamond kwa lolote km Mange. Anachotaka kusema huyo jamaa hata kwny aiyola alijilipia nauli ya south, tena kwenye ile video konde aliharibu pikipiki ya watu management ikalipa.
 
Kalipa fadhila kwa Hawa Nitalejea, kwa kumpeleka India kwa matibabu, Bob Junior na clouds fm, na baba mlezi bado kulipwa fadhira, hipo siku yao watakumbukwa kikubwa uzima tu.
Juma lokole tunajua bila mondi hupati hata pesa ya bando
 

hujanielewa.

shida yangu au ya harmonize sio kulipa 600 au 800 what ever,mkataba ndio unaamua,ndio maana aliwalipa bila kushitaki au kulalamika popote,ishu ni mwenye leble kutotambua kwamba alikuwa anafanya biashara na harmonize sio hisani au charity alikuwa anafanya.

defamation suit huwa anafungua aliyeona kachafuliwa,kama kuna anayeona kaonewa aende polisi then mahakamani watakutana huko.
 
Ila siku hizi ukiachana na Kick, konde amepunguza kumkopi Abdul

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Umesema tusiweke utim we mbona umeweka utim? Uyo harmonize anaimba nini tangu atoke wasafi?
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe ni shabiki wa domo sikushangai, midomo yenu ni myepesi kutamka maovu.
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sioni mwenye anajadili facts humu zaidi ya utimu na mahaba. Inamaana hamjamsikia Harmo aliposema kuwa ni video shooting 9 kati ya production 59 alizofanya? Ndizo alizofanyiwa na Wasafi?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kweli kaimba hivii, wengine hatujasikiliza ngoma yake yoyote
nyau)
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…