Diamond anatakiwa ayatolee ufafanuz haya malalamiko , Harmonize anamtuhumu Diamond kwamba kuna watu anawatuma wamchafue notable Baba levo na Juma lokole , ili kumharibu kimziki yes yawezekana ni kweli , Ila harmonize haangalii Kwa upande wake kuwa na yeye ana chawa akina mwijaku , carlmastory, hbaba , jaymaudaku na wengine weng na wao kazi Yao ni kumwandama diamond , lakini pia Wasafi wakiandaa event yeye harmonize na yeye anaandaa ili kudivert attention ... Means na yeye anaishi na kuamini humo humo kwenye Fitina na figisu , anamponda mond kwa madhaifu yake hata hvyo bado anamtegemea mond indirect ili awin, ...... Tatizo linakuja hafikii peak Ile anayotaka sababu mwenzake kaenda mile nyingi mbele na ana nguvu nyingi zaidi ndo chanzo cha malalamiko hayo yote.
Turudi Kwa Maghufuli , mtoa mada kuna kitu umekiruka au umekificha Kwa maksudi ili
ujumbe wako wenye utata na kisiasa ufike , mpak kusema Jiwe alimbembeleza Diamond kitu ambacho Kwa Maelezo ya harmonize sio kweli ...
Harmonize anadai alifanya kila njia kuwaomba watu wenye nguvu ya kimaamuz ili wamsaidie azma yake ya kuvunja mkataba , kwani by that time kwake ilikuwa ni ngumu hata kumfikia Diamond Kwa jinsi mambo yalivyokuwa yana-turn around...
Aliwafikia watu kama kusaga ( sababu ya status yake na ushkaji na mond ), alimfikia mama dangote (nguvu ya mama) alimfikia mwenyekiti sjui ndo katibu wa Basata, na alimfikia mwakiyembe ( by that time Wazir wa Sanaa ) , Kwa Maelezo yake anadai wote hawakuonyesha kumsaidia na inaonekana hawakuwa tayar , huku akiandamwa na pressure toka Kwa wadhamini wake CRDB na Sayona , Kondeboy aliona kete Yake ya mwisho ni Raisi John Pombe Joseph Maghufuli....
Jiwe alifanya sehemu yake Kwa kumpigia simu Wazir wa Sanaa na michezo kuhusu hlo sakata,na nafk Mwakiyembe alikuwa aware na hyo changamoto thus why alifanya maamuz ya haraka , kumzuia diamond kukwea pipa mpak amalize hlo suala ...
Kwa hyo Siyo kwamba Maghufuli alimbembeleza Diamond ...na kama ingekuwa hvyo ingechukua sku mbili au tatu ...
Zaidi ya yote Kongole Kwa Harmonize Kwa upambanaji na roho ya kiume , kuhusu Fitina hata yeye hzo Fitina anazifanya , ushindi wake sio wa haraka kama anavyofkria sababu mwenzake still bado ni ngome imara ...!!