Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Mwacheni aongee ukweli.WCB kuna siphoning ya hali ya juu sana.Hata mnyakyusa Rayvanny ana shida kubwa sana.


Ndo maana Kiba hataki upuuzi toka kwa hao wapuuzi wa WCB woteee
Yale ma meneja ya pale yana roho ya kukunja.sana.na uchawi
 
Nakumbuka kiroja cha zile tuzo...

Na moja ya viroja ilikuwa ni Kiba kumpiku Christian Bella kwenye tuzo, nadhani ya Mwimbaji Bora!!
Kumbe unakumbuka vizuri na pale ndipo team zilipo anza Team Jokate, Wema, Kiba na Mange.
 
Yaani Diamond atake kumwangusha Harmonize?

Like serious?!

Yaani Harmonize aliyekuwa ana-copy kila kitu kutoka kwa Diamond... kuanzia style ya kuimba hadi swagga halafu bado anaye-copy ndie awe threat kwa mwanzilishi?!

Like serious?!

Mkiweka utimu pembeni... hivi Harmonize anamfikia hata hRayvann kwa uwezo wa kimuziki?! Kuanzia mashairi hadi melody?

Kwanini basi huyo Diamond asifanye struggles za kumwangusha Rayvann, ambae kwa vocals, hata Diamond mwenyewe hajafika levels za Rayvann?!

FYI, ambae alikuwa na matatizo na Harmonize ni Sallam....

Na Sallam ndivyo alivyo... yaani huwa hakopeshi!!!

Na hata Harmonize alipotoka WCB, Diamond alikuwa kimya!!

Harmonize alipotoa album, Diamond alii-post lakini alichoambulia "Oh, Diamond anaanza shobo na kutafuta kiki"!

Na ni huyo huyo Harmonize ndie alianza vijembe kwenye nyimbo zake....

Akaja H Baba nae akanunua "ugomvi"
Hivi Rayvann ana vocal gani au ushawahi kumsikia kabadilika hata kidogo jamaa sijui anaimbaje yaani, ndugu unamjua Young Thug? Unaomuona Lil Wayne wa sasa? Unapata picha gani?
 
Hivi Rayvann ana vocal gani au ushawahi kumsikia kabadilika hata kidogo jamaa sijui anaimbaje yaani, ndugu unamjua Young Thug? Unaomuona Lil Wayne wa sasa? Unapata picha gani?
Wacha wee...

Kwahiyo tukianza kuzungumzia uwezo wa akina Aslay utataka tumlinganishe na akina Chris Brown, au?!
 
Boss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi lakini kwakua ametengeneza fanbase kubwa huwezi kuta yanazungumziwa madhaumifu yake

Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.

Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.
Watu hawajui tu kwa sababu hii sanaa labda ni wageni kiasi, Mondi ndo tabia zake anakunja sana ukianza kumzidi hata kwa kile kidogo.. sema anachokosea Harmonize ni njia anazotumia japo nao wanamzingua ona anachofanya Baba Level ila akifanya Harmonize hana nidhamu [emoji3]
 
Hivi Rayvann ana vocal gani au ushawahi kumsikia kabadilika hata kidogo jamaa sijui anaimbaje yaani, ndugu unamjua Young Thug? Unaomuona Lil Wayne wa sasa? Unapata picha gani?
Mahaba tu yanawasumbua sijui aliwahi kubadilika lini?
 
Uko sahihi kabisa!ruge alikua mnyonyaji but diamond yuko sahihi!!ptuuu!!
Uonevu tu!kunya anye kuku....!!!
Harmonize ni binadamu kila kitu kina kikomo!!
Huyo Mondi mkamilifu Kagombana na Dimpoz,Shetta na Ney na wote kaimba nao ngoma!
Ina maana hao wote wakorofi Mondi ndo mkamilifu?kuna shida WCB mkubali mkatae nyie wenye timu zenu!![emoji57][emoji57][emoji57]
Kwa maelezo ya mmakonde ana point kadhaa..

Diamond ana shida mahala, kuna kitu mjomba nchumali kakisema kuwa "diamond ana fanbase kubwa hivyo ukiwa na kaugomvi nae akichukua mashabiki wake we unabaki na kidunchu"

Komenti za wengi humu zinamkandia mmakonde kwa utimu sio kwa kike alichosema.

Inaonekana mondi hakufurahishwa na ujaji wa juu wa kijana, hii kauli ya mmakonde alipomwambia mondi "bro ya nini uumize kichwa, hata nifanye vipi we yako 60, mie nakula 40.. kisha mondi kusema unataka kushindana nami, huniwezi kiserikali,kiuchawi sijui na nini.

Sijajua kabla hajaondoka wcb ni nani alikuwa anaingiza fedha ndefu baada ya mondi nahisi ni mmakonde, kifupi hili jambo mondi hakufurahi.
Na hii ipo, kibinadamu mondi alikuwa anategemea kula pale kwa mjomba nchumali.
Ni kama vile ujenge hotel, kisha serikali waje kuvunja inauma.

Hata pac alipotaka kutoka kwa suge, suge hakifurahia kabisa...
Ile kauli nimesalitiwa na jeshi, inao esha kiasi gani mondi ilimuuma.

Kikubwa mmakonde akaze msuli aendelee na game ndio maisha hayo.
 
Alishindwa ila MTV MAMA akapata, ndipo hapo mkaziangalie tuzo zenu.

Halafu kwani tuzo lazima ashiriki Diamond na WCB wasanii wengine si wapo.
hapo kwenye tuzo zenu , kina nani?
unadhidi kuonesha mahaba ya wazi
 
Yaani Mmakonde njomba nchumari hana akili kabisa
 
Management inapochukua 60% wanatumia hiyo percent katika videos zako, production mpaka usafiri wa kuzunguka sehemu mbalimbali. Hivyo anayechukua 40% ana asilimia kubwa kumzidi wa 60% unless kama alikua anajigharamia hivyo vitu vingine pia.
Kwani hiki ndio anasema kilimtoa wcb!?

Kuna kauli mmakonde kamwambia mondi
"Bro haina haja ya kuumiza kichwa hata nifanyaje yako 60, mie yangu 40, usisikilize maneno ya watu"

Hapo inaonesha mjomba nchumali aliridhika na hiyo fote yake, au mimi sijaelewa vizuri?
 
Alishindwa ila MTV MAMA akapata, ndipo hapo mkaziangalie tuzo zenu.

Halafu kwani tuzo lazima ashiriki Diamond na WCB wasanii wengine si wapo.
hapo kwenye tuzo zenu , kina nani?
unadhidi kuonesha mahaba ya wazi
Kwa maelezo ya mmakonde ana point kadhaa..

Diamond ana shida mahala, kuna kitu mjomba nchumali kakisema kuwa "diamond ana fanbase kubwa hivyo ukiwa na kaugomvi nae akichukua mashabiki wake we unabaki na kidunchu"

Komenti za wengi humu zinamkandia mmakonde kwa utimu sio kwa kike alichosema.

Inaonekana mondi hakufurahishwa na ujaji wa juu wa kijana, hii kauli ya mmakonde alipomwambia mondi "bro ya nini uumize kichwa, hata nifanye vipi we yako 60, mie nakula 40.. kisha mondi kusema unataka kushindana nami, huniwezi kiserikali,kiuchawi sijui na nini.

Sijajua kabla hajaondoka wcb ni nani alikuwa anaingiza fedha ndefu baada ya mondi nahisi ni mmakonde, kifupi hili jambo mondi hakufurahi.
Na hii ipo, kibinadamu mondi alikuwa anategemea kula pale kwa mjomba nchumali.
Ni kama vile ujenge hotel, kisha serikali waje kuvunja inauma.

Hata pac alipotaka kutoka kwa suge, suge hakifurahia kabisa...
Ile kauli nimesalitiwa na jeshi, inao esha kiasi gani mondi ilimuuma.

Kikubwa mmakonde akaze msuli aendelee na game ndio maisha hayo.
safi sana unakuwaga na.akili sana
 
Pesa ni mwanaharamu, pesa kagombanisha wengi, makundi kibao yamevunjika kisa pesa..

Alichoongea mmakonde kinaashiria vitu fulani.. ofcz mondi sio malaika nae lazima awe na mabaya yake tofauti na watu wanavyomuona.

Wote sio wakamilifu, wote wana mapungufu maisha yasonge, mmakonde apige kazi tu, shida anapaniki atapoteza vita na kujitoa kwenye game mwenyewe, mondi alipofikia ni pakubwa mnoo kimafanikio.

Ili mmakonde atoboe afute kabisa mabaya ya mondi akumbuke yale mazuri tu basi, kisha apige kazi.
 
hapo kwenye tuzo zenu , kina nani?
unadhidi kuonesha mahaba ya wazi

safi sana unakuwaga na.akili sana
Hao mashabiki wana chukuliwa vp na bastola, saa nyingine kauli nyingine ni kukubali kushindwa tu.

Ina maana Diamond anawashikia bastola watu wasi sikilize na kustreams nyimbo za Harmo.

Yy ana amini bora kuliko Mond its basi aprove hilo kupitia numbers sio maneno,kwani sasa hivi yupo free hayupo chini ya label, Clouds, EA,EFM wanampa airtimes ni wakati wake wa kuprove.
 
Back
Top Bottom