MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 1,140
- 2,141
Konde boy they call me number one, too much money in the bank moneyAwanasho you something that you never see
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konde boy they call me number one, too much money in the bank moneyAwanasho you something that you never see
Hilo la WizKid, ndo leo nalisikia lakini siwezi kushangaa kwa sababu jamaa ni Diamond Clone mwanzo mwisho...Ukicheki video ya inde ft dully yule ni mondi kabisa.
Wizkd alivyo kuja Mwanza alimchana live aache kumcopy mondi
You're right...Shida ndio ipo hapa. Nchumali anaiga kila kitu akidhani ipo siku atamzidi mondi wakati huku hawezi na wajuzi tunaona kabisa huyu wannabe wa mondi.
Upande wa pili mondi hataacha kuumwa roho cause anaona kabisa Nchumali kabeba maujanja yake yote na anageza kila kitu.
Solution Mchumali apotezee ajenge identity yake yeye kama yeye Nchumali kama Nchumali.
Namimi nilitaka nijue hapo anaposema Diamond anachukua 60% kwamba anachukua yeye kama yeye ama ni pesa ya management?! Kama ni management ni sawa tu maana pale kuna kulipa videos,audios, promotion, wafanyakazi, n.kManagement inapochukua 60% wanatumia hiyo percent katika videos zako, production mpaka usafiri wa kuzunguka sehemu mbalimbali. Hivyo anayechukua 40% ana asilimia kubwa kumzidi wa 60% unless kama alikua anajigharamia hivyo vitu vingine pia.
Huna unalojua acha ushabiki maandaziYaani Diamond atake kumwangusha Harmonize?
Like serious?!
Yaani Harmonize aliyekuwa ana-copy kila kitu kutoka kwa Diamond... kuanzia style ya kuimba hadi swagga halafu bado anaye-copy ndie awe threat kwa mwanzilishi?!
Like serious?!
Mkiweka utimu pembeni... hivi Harmonize anamfikia hata hRayvann kwa uwezo wa kimuziki?! Kuanzia mashairi hadi melody?
Kwanini basi huyo Diamond asifanye struggles za kumwangusha Rayvann, ambae kwa vocals, hata Diamond mwenyewe hajafika levels za Rayvann?!
FYI, ambae alikuwa na matatizo na Harmonize ni Sallam....
Na Sallam ndivyo alivyo... yaani huwa hakopeshi!!!
Na hata Harmonize alipotoka WCB, Diamond alikuwa kimya!!
Harmonize alipotoa album, Diamond alii-post lakini alichoambulia "Oh, Diamond anaanza shobo na kutafuta kiki"!
Na ni huyo huyo Harmonize ndie alianza vijembe kwenye nyimbo zake....
Akaja H Baba nae akanunua "ugomvi"
Nimeisikiliza interview mwanzo mwisho, itoshe kusema Diamond Platinumz ni binadamu katiri, mnafiki na mwenye roho mbaya sana.
I always salute huyu mmakonde..
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Harmonize afunguka kuhusu mkataba alioingia na WCB amesema alikuwa akipewa 40% ya mapato yoyote anayoingiza na WCB kuchukua 60% ameamua kuelezea hayo yote kutokana na watu kuwa dhana ya kwamba yeye ni msaliti. Amesema alifanyiwa fitna nyingi zilizopelekea yeye kuondoka kwenye record label hiyo.
Amesema management nzima ya WCB walikuwa wanamuogopa yeye (Harmonize) kwamba anaelekea kumshinda Diamond Platnumz kimuziki, amenongezea pia baba yake Harmonize alivyokuwa akija kumtembelea nyumbani WCB walikuwa wanasema kwamba alikuwa anakwenda kumroga Diamond.
Harmonize ameongezea pia alikwenda Nigeria kwa gharama zake kufanya collabo na Reekado Banks nchini Nigeria na akakatwa dola 5000 na WCB. Alipoona fitna zimezidi alijaribu kutafuta amani lakini ilishindikana, amesema mkataba wake na WCB alishauriwa na Joseph Kusaga kwamba akitafuta mwanasheria asingelipa chochote lakini hakutaka kupambana kwa njia hiyo na akaamua kulipa hela tu (Milioni 600) ili tu kupata amani.
Aliyegombana nae hapo, kidogo labda unaweza kusema Ommy Dimpo...Huyo Mondi mkamilifu Kagombana na Dimpoz,Shetta na Ney na wote kaimba nao ngoma!
Ina maana hao wote wakorofi Mondi ndo mkamilifu?kuna shida WCB mkubali mkatae nyie wenye timu zenu!![emoji57][emoji57][emoji57]
Jadili hoja, kama huna hoja... piga kimya!!Huna unalojua acha ushabiki maandazi
Inasemekana jamaa alipigiwa mama yake kwanza,alichofanya yeye ni kulipiza tu,Aliyegombana nae hapo, kidogo labda unaweza kusema Ommy Dimpo...
Shetta hajagombana nae, bali katombewa mke wake... nae ni ya kujitakia!!
Yaani mtoto wa kiume, huku ukiwa na mke mzuri kutwa kutwa unashinda kwa vito.mbi... ukigongewa ulalamike?!!
Chanzo cha tofauti na Nay wa Mitego ambacho kinatafsiriwa kwamba ni bifu wala haikuwa bifu per se bali mitazamo ya kisiasa iliyokuwa imemfanya Diamond ajali zaidi maslahi yake kuliko ushikaji!!
Na tatizo lilianza wakati Instagram inawaka moto kweli kweli... huku akina Mange wakimshambulia Makonda na JPM, hususani baada ya issue ya dawa za kulevya...
As we all know, Mond alikuwa upande wa Makonda na Serikali kwa ujumla huku Nay wa Mitego kama umjuavyo, alifikia hadi kukamatwa kipindi kile kutokana na mashairi yake!!
Sasa katikati ya lile songombingo, Nay wa Mitego akaachia track... na haina haja ya kuumiza kichwa kutaka kufahamu kwa wakati kama ule Nay angeachia track yenye maudhui ya aina gani...
Mond, akashindwa kui-post ile ngoma ya Nay wa Mitego...
Yaani akaacha kui-post ngoma ya mshikaji wake kwa kile alichoamini angemkwaza Makonda na Presdaa kwa ujumla!!
Na kwavile Mond ni maslahi ya biashara zake kwanza, akaona "kama vp, poa tu"!
Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Yaani Diamond atake kumwangusha Harmonize?
Like serious?!
Yaani Harmonize aliyekuwa ana-copy kila kitu kutoka kwa Diamond... kuanzia style ya kuimba hadi swagga halafu bado anaye-copy ndie awe threat kwa mwanzilishi?!
Like serious?!
Mkiweka utimu pembeni... hivi Harmonize anamfikia hata hRayvann kwa uwezo wa kimuziki?! Kuanzia mashairi hadi melody?
Kwanini basi huyo Diamond asifanye struggles za kumwangusha Rayvann, ambae kwa vocals, hata Diamond mwenyewe hajafika levels za Rayvann?!
FYI, ambae alikuwa na matatizo na Harmonize ni Sallam....
Na Sallam ndivyo alivyo... yaani huwa hakopeshi!!!
Na hata Harmonize alipotoka WCB, Diamond alikuwa kimya!!
Harmonize alipotoa album, Diamond alii-post lakini alichoambulia "Oh, Diamond anaanza shobo na kutafuta kiki"!
Na ni huyo huyo Harmonize ndie alianza vijembe kwenye nyimbo zake....
Akaja H Baba nae akanunua "ugomvi"
Sawa ndo tayari ana shida sasa!kwanini akosane na hao washkaji zake wote ht kwa hayo makosa madogo au makubwa pia!Aliyegombana nae hapo, kidogo labda unaweza kusema Ommy Dimpo...
Shetta hajagombana nae, bali katombewa mke wake... nae ni ya kujitakia!!
Yaani mtoto wa kiume, huku ukiwa na mke mzuri kutwa kutwa unashinda kwa vito.mbi... ukigongewa ulalamike?!!
Chanzo cha tofauti na Nay wa Mitego ambacho kinatafsiriwa kwamba ni bifu wala haikuwa bifu per se bali mitazamo ya kisiasa iliyokuwa imemfanya Diamond ajali zaidi maslahi yake kuliko ushikaji!!
Na tatizo lilianza wakati Instagram inawaka moto kweli kweli... huku akina Mange wakimshambulia Makonda na JPM, hususani baada ya issue ya dawa za kulevya...
As we all know, Mond alikuwa upande wa Makonda na Serikali kwa ujumla huku Nay wa Mitego kama umjuavyo, alifikia hadi kukamatwa kipindi kile kutokana na mashairi yake!!
Sasa katikati ya lile songombingo, Nay wa Mitego akaachia track... na haina haja ya kuumiza kichwa kutaka kufahamu kwa wakati kama ule Nay angeachia track yenye maudhui ya aina gani...
Mond, akashindwa kui-post ile ngoma ya Nay wa Mitego...
Yaani akaacha kui-post ngoma ya mshikaji wake kwa kile alichoamini angemkwaza Makonda na Presdaa kwa ujumla!!
Na kwavile Mond ni maslahi ya biashara zake kwanza, akaona "kama vp, poa tu"!
Hivi ukiacha hao waliotajwa, hao wengi ni akina nani?!Inasemekana jamaa alipigiwa mama yake kwanza,alichofanya yeye ni kulipiza tu,
jamaa kagombana na wengi tu ila watu hawaweki ugomvi wao na jamaa hadharani kwasababu wataonekana wao wanatafuta kiki na mashabiki maandazi watawaandama sana
Nazungumzia wasanii wenzie achana na hizo mambo za clouds sijui eatvHivi ukiacha hao waliotajwa, hao wengi ni akina nani?!
Tatizo watu wanachanganya kati ya ugomvi na issue za kibiashara...
Kwa mfano, kulikuwa na misunderstanding kati ya Diamond na EATV... that's purely business!!!
Na EATV walikasirika zaidi baada ya kuandaa tuzo za muziki lakini Wasafi wakawaondoa wasanii wake wote waliokuwa nominated including Mond mwenyewe!!
Zile tuzo zikafia hapo hapo!!
Sasa sijui katika kulinda ajira ama vp, baadhi ya Watangazaji wa EATV wakauchukua ugomvi wa EATV na Diamond, wakaufanya wao!!