Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Huwezi kumzuia mtu kusema, ila Mondi ushawahi kumsikia akisema hivyo.

Acha namba ziongee, sio kelele hizi.

Sina uhakika lakini nahisi Mond ana mkwanja mrefu kuliko hamo. Hamo kwa sasa anapata mkwanja mrefu kuliko alivyokuwa kwa mond.

Naamini hizi ni facts. I am sorry kwa leo kuongelea huu ugomvi, nimekuwa nikikwepa kutia neno kwani najua mambo machache lakini ni sababu concrete juu ya huu ugomvi.

Tuwapongeze vijana wanastruggle kuzichangisha.

Tatizo langu huwa sipendi mtu aonewe.
 
Sina uhakika lakini nahisi Mond ana mkwanja mrefu kuliko hamo.
Hamo kwa sasa anapata mkwanja mrefu kuliko alivyokuwa kwa mond.

Naamini hizi ni facts.

I am sorry kwa leo kuongelea huu ugomvi, nimekuwa nikikwepa kutia neno kwani najua mambo machache lakini ni sababu concrete juu ya huu ugomvi.

Tuwapongeze vijana wanastruggle kuzichangisha.

Tatizo langu huwa sipendi mtu aonewe.
Inawezekana japokuwa hatuwezi jua ila kaa ukijua Konde Gang ana iongoza kwa hasara, mpaka hela anatoa mfukoni mwake, wasanii wenyewe show kupata shughuli streams hazi eleweki.
 
Inawezekana japokuwa hatuwezi jua ila kaa ukijua Konde Gang ana iongoza kwa hasara, mpaka hela anatoa mfukoni mwake, wasanii wenyewe show kupata shughuli streams hazi eleweki.
we ni mhasibu wa Konde gang au Sara ?
 
Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.

Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.

Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.

Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.

Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.

Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.

Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Asante kaka, kwani unatumia kinywaji gani?
 
Mange hili hali mpiti,atakivalia njuka plus kibwebwe huko Insta naona wale wazee wa Da Mange kasema wana msubiria.
 
Msikilizeni harmonize hadi mwisho alafu ondoa utimu kabisa .angalia kinachozungumzwa utagundua pale wcb kuna fitna kubwa sana .haswa hao wazee wakina fella.sallam hapo ni majungu na kuvunjiana nazi.mimi sipendi mziki na siwafuatiliii sana lakin alichoongea harmonize na alichofanyiwa manara simba kama vinataka kulandana hivi .sema tu manara hakulipa milion 600.
Kwa maelezo ya harmonize ni kuwa hapo wcb mondi anapelekeshwa na hao wenye vitambi .kuwa harmonize atamuua mond kimziki.ila hadi sasa mond sion anachoimba katika miaka hii miwili iloyopita

Full time
Harmonize 7 vs wcb 0

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Unaumwa wewe harmonize hatukuja mfikia diamond mpaka aanakufa
 
Sina uhakika lakini nahisi Mond ana mkwanja mrefu kuliko hamo.
Hamo kwa sasa anapata mkwanja mrefu kuliko alivyokuwa kwa mond.

Naamini hizi ni facts.

I am sorry kwa leo kuongelea huu ugomvi, nimekuwa nikikwepa kutia neno kwani najua mambo machache lakini ni sababu concrete juu ya huu ugomvi.

Tuwapongeze vijana wanastruggle kuzichangisha.

Tatizo langu huwa sipendi mtu aonewe.
Una hisi JEMBE anachukua asilimia ngapi?
 
Dogo angekausha tu aisee, hii ya kutafuta huruma sio poa.

Na bahati mbaya zaidi sidhani kama wcb watamhibu hizo tuhuma zake dhidi yao.
Jamaa walitumia gharama kumtoa mpaka ajulikane sasa anakatwa analalamika.

Halafu huo ni mkataba aliousaini kabisaa, sasa unalalamikaje wakati mkataba uliusoma na ukauelewa kabisa.
 
Kwani ali kiba ana semaje kuhusu ili au achukue mshabiki zake tu kutoka kwa uyu kijeba
 
Hilo nalifahamu fika...

Tangu enzi Harmonize yupo Wasafi, nilikuwa namkubali Rayvann mara 100 kumlinganisha na Harmonize

Na kilichokuwa kinanikera zaidi kuhusu Harmonize ni ile kuiga kila kitu toka kwa Diamond.... yaani alikuwa Clone ya Diamond; hakuwa unique kama Rayvann ambae hata kama umepiga mtungi na kuzima, ukisikia ngoma mpya ya Rayvann utajua tu huyo ni Rayvann!!
Shida ndio ipo hapa. Nchumali anaiga kila kitu akidhani ipo siku atamzidi mondi wakati huku hawezi na wajuzi tunaona kabisa huyu wannabe wa mondi.

Upande wa pili mondi hataacha kuumwa roho cause anaona kabisa Nchumali kabeba maujanja yake yote na anageza kila kitu.

Solution Mchumali apotezee ajenge identity yake yeye kama yeye Nchumali kama Nchumali.
 
Back
Top Bottom