Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]daahhhHarmonize niliona amevaa lile koti na joto hili la Dar nikajua tu ni time ya VIOLENCE
😂😂😂Harmonize niliona amevaa lile koti na joto hili la Dar nikajua tu ni time ya VIOLENCE
Uko sahihiBoss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi lakini kwakua ametengeneza fanbase kubwa huwezi kuta yanazungumziwa madhaumifu yake
Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.
Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.
Wote wanawazanaHarmonize anamuwaza Domo masaa 24
Tajiri kumuwaza masikini ni sawa na kupatwa kwa jua.Wote wanawazana
Huyo harmonize ambaye kila nyimbo anamuimba diamond ndo mtaarabu??!! Au ustaarabu ni nini mkuu??Mashabiki wa Diamond wanapenda kumuattack Harmonize kwasababu wana tabia ya kuwa na chuki zao tu.
Hata kabla hajasema mimi nilijua mkorofi ni domo kutokana na scenario moja niliyowai ishuhudia kati yao hapo nyuma. Harmonize ni mstaarabu sana ila mashabiki wa domo wanamfatafata sana.
Lakini dogo amesimama vema sasa hawataweza kumwangusha zaidi ya kumwongezea fans.
Kwa watoto hawa wadogo wanaokua sasa wanamfaham zaidi hamo kuliko domo.
Mashabiki wa domo wanazeeka wakati mashabiki wa amo wanakua.
Hivyo mahesabu yanaonyesha ni wapi hawa miamba wawili wanaelekea.
Uko sahihi kabisa!ruge alikua mnyonyaji but diamond yuko sahihi!!ptuuu!Mzee unadhani wabongo hata ukiwaambia ukweli wanabadili mawazo?
Watanzania sisi ndiyo watu pekee ambao tunapenda au kumchukia mtu bila sababu ya msingi.
Alichofanyiwa harmonize watasema sawa ila kwa ruge rip walikuwa wanasema mnyonyaji hata kama hao wanaodai alikuwa anawanyonya walikuwa wamesaini mikataba kwa hiari yao.
Tanzania jambo linaweza kuwa zuri au baya ila inategemea mtendaji ni nani.
Mi huwa namshangaa sana anavyo fanya ligi na mwalimu wake..ujue mda mwingine binadamu hatuna haya na adabu..Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.
Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.
Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.
Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.
Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.
Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.
Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Timu Diamond always negativity tushawazoea haoo!![emoji4]Umemsikiliza harmonize kwanza au umcomment tu???
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Awanasho you something that you never seeSijasikiliza hata nyimbo zake....ndo kile kiingereza cha ago kill u??? Akankill ma self???
Ukicheki video ya inde ft dully yule ni mondi kabisa.Hilo nalifahamu fika...
Tangu enzi Harmonize yupo Wasafi, nilikuwa namkubali Rayvann mara 100 kumlinganisha na Harmonize
Na kilichokuwa kinanikera zaidi kuhusu Harmonize ni ile kuiga kila kitu toka kwa Diamond.... yaani alikuwa Clone ya Diamond; hakuwa unique kama Rayvann ambae hata kama umepiga mtungi na kuzima, ukisikia ngoma mpya ya Rayvann utajua tu huyo ni Rayvann!!
Konde boy they call me number one, too much money in the bank money😂😂Awanasho you something that you never see
Shomi wochu gatAwanasho you something that you never see
Sawa kakaSina uhakika lakini nahisi Mond ana mkwanja mrefu kuliko hamo.
Hamo kwa sasa anapata mkwanja mrefu kuliko alivyokuwa kwa mond.
Naamini hizi ni facts.
I am sorry kwa leo kuongelea huu ugomvi, nimekuwa nikikwepa kutia neno kwani najua mambo machache lakini ni sababu concrete juu ya huu ugomvi.
Tuwapongeze vijana wanastruggle kuzichangisha.
Tatizo langu huwa sipendi mtu aonewe.
Yuko makini anaogopa kufutiwa akaunti sasa hiviMange hili hali mpiti,atakivalia njuka plus kibwebwe huko Insta naona wale wazee wa Da Mange kasema wana msubiria.
[emoji23]Konde boy they call me number one, too much money in the bank money[emoji23][emoji23]
[emoji28]Shomi wochu gat
Kinge cha kinyaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]