Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Nimeamini kuna watu wanaweza kukuchukia na hujawafanyia lolote baya,

Harmonize
1. Aliutekeleza mkataba wake WCB vizuri
2. Waliposhindwana wakamalizana vizuri na wcb wakavuta pesa waliyokuwa wanaitaka (600M)

Choko choko za nini sasa?mtu ana demand respect kwa mtu ambaye alitaka kumuangusha???nnamini mmoja wenu hapa ndiye angekuwa harmonize uvuliwe milioni 600 si ajabu hata mngekuwa mmeshamloga diamond kafia mbali
Yaani Diamond atake kumwangusha Harmonize?

Like serious?!

Yaani Harmonize aliyekuwa ana-copy kila kitu kutoka kwa Diamond... kuanzia style ya kuimba hadi swagga halafu bado anaye-copy ndie awe threat kwa mwanzilishi?!

Like serious?!

Mkiweka utimu pembeni... hivi Harmonize anamfikia hata hRayvann kwa uwezo wa kimuziki?! Kuanzia mashairi hadi melody?

Kwanini basi huyo Diamond asifanye struggles za kumwangusha Rayvann, ambae kwa vocals, hata Diamond mwenyewe hajafika levels za Rayvann?!

FYI, ambae alikuwa na matatizo na Harmonize ni Sallam....

Na Sallam ndivyo alivyo... yaani huwa hakopeshi!!!

Na hata Harmonize alipotoka WCB, Diamond alikuwa kimya!!

Harmonize alipotoa album, Diamond alii-post lakini alichoambulia "Oh, Diamond anaanza shobo na kutafuta kiki"!

Na ni huyo huyo Harmonize ndie alianza vijembe kwenye nyimbo zake....

Akaja H Baba nae akanunua "ugomvi"
 
Kaongeza misamiati siku hizi kuna matusi , huu ndio wimbo wake wa kwanza kwenye album katoa video juzi juzi, haueleweki anaimba nini, hapo kwenye sleep sleep nafikiri alimaanisha halali lali, hiyo outside sijui ndio ametoka😆

"Yeah hustle everyday I never sleep sleep coz am outside
When am falling love I go deep deep coz am outsidee
Time for the money two for the show enzi za kuuza maji na wanangu wa kariakoo
That was before long time ago I wish you know I wish you know yeaah
"

Chorus:
"We are outside outside outside outside
B*tch am outside outside outside outside
Am outside outside outside (Eeeh)
Kondegang we are outside outside outside (Yah yah yah)
"
Ahsante studio 😂😂😂😂
 
Diamond alimchukua Harmonize akaishi nae nyumbani kwake.

Alienda kushoot nyimbo yake AIYOLA South Africa kwa hela za WCB, Diamond akafanya kolabo nae free kabisaa ya BADO akaenda kimataifa, malazi alilipiwa na WCB.

Leo anasema alikuwa ananyonywa alitaka zile gharama zirudije?
 
Je mtu kusema yake ya moyoni ndio kigezo cha mziki kumshinda?

Sidhani kama uwezo wako wa kufikiri ndio umefikia kikomo na kufikia hilo hitimisho eti muziki umemshinda.
Harmonaize anaweza kuwa sahihi ila anachokifanya ni kutafuta public sympathy kumsagia kunguni mwenzake huu ndio utanzania wenyewe. Mimi nafikili hana washauri na kama wapo hawamjengi kiproffessional.

Anachokifanya ni tabia ya uswahili aangalie atakuja kukosa endorsement maana haoneshi ukomavu yako kama mwanamke anaelialia kutafuta huruma.
 
Diamond alimchukua Harmonize akaishi nae nyumbani kwake,
Alienda kushoot nyimbo yake AIYOLA South Africa kwa hela za WCB,
Diamond akafanya kolabo nae free kabisaa ya BADO akaenda kimataifa,
malazi alilipiwa na WCB,
Leo anasema alikuwa ananyonywa alitaka zile gharama zirudije?
Huyu dogo alipata bahati ambayo vijana wengi wanaililia hata diamond mwenyewe hakuipata coz a struggle Sana. Nyimbo ya kwanza kwa madiba bondeni hata mahusiano yake na wolper nahisi yalikuwa yakimkakati.

Harmonaize atulie yeye mtoto wakiume kulialia kwenye media kunamuharibia maana diamond ana advantage ya fans base kubwa anatumia mbinu za kizembe kumuangusha
 
Hakuna shughuli hapo

Harmonize inabidi atoe respect kwa mtu aliyemuokota baada ya kuambiwa na BSS kuwa hajui kuimba ila Diamond akaamini kipaji chake na kumsaidia kufika alipofika leo hii

Huyo rayvanny mwenyewe alikuwa ameachwa na Madee kwenye ile label yao kwa kuambiwa hajui kitu ila Simba akamchukua na kuamini kipaji chake na leo hii yupo juu

Muangalie Mbosso khan leo hii wenzake wa kundi la Ya moto band wapo wapi na wanafanya nini kwenye industry? Aslay na yule Beka flavour

Tuje tumsuguse Zuchu right now, one of the top female artist in East and Central Africa

Ooooh!, This Dude Simba need appreciation kwa kutengeneza wasanii wakubwa ambao wanaweza kufanya competition na yy mwenyewe coz label nyingi hapa bongo wameshindwa kufanya ambacho amekifanya yy

Pia wakumbuke ile music label yake sio kwa ajili ya social charity Ila ipo for profit gain
Boss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi lakini kwakua ametengeneza fanbase kubwa huwezi kuta yanazungumziwa madhaumifu yake

Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.

Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.
 
Hapana sio kiki, amezungumza ukweli ambao hajawahi kuzungumza kwenye media yeyote
Harmonaize ni kijana Muoga na mbinu anazotumia kufanya media bias ili ahurumiwe nizakijinga. Fitina ni kitu cha kawaida kama mtoto umemkuza mwenyewe harafu anaanza kukujambia hua inauma hata kama ungekuwa wewe.

Kijana atulie tu asioneshe kujitutumua , afanye kazi kwa weledi na sio mambo ya disi kwenye nyimbo zake, kushtumiana ni ujinga tu, kijana ana kipaji apambane kuongeza kipunda kusaidia wenzake kama alivyo saidiwa
 
Boss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi

Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.

Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.

Upo sahihi unachosema coz hata diamond mara kazaa ameonesha chuki japo kijanja. Harmonaize ni public figure anapoonesha chuki za waziwazi kuna mashabiki anaweza kuwapoteza coz diamond yuko kwenye advantage kama mtu aliemshika mkono kumuinua juu alipokuwa chini.

Diamond sio malaika anamapungufu mengi na hatujui alimfanyia nini kijana wake behind the scenes.

Note my words bro harmonaize anajaribu kufanya character assassination kwa diamond njia ambayo mimi nimeiona yakipuuzi tu
 
Boss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi lakini kwakua ametengeneza fanbase kubwa huwezi kuta yanazungumziwa madhaumifu yake

Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.

Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.
Kashfa za mondi nyengine zipi?
 
Back
Top Bottom