Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanafiki tu Hadi kesho kanamsnitch Domo KHizo voice note Rayvanny alishaliongelea muda mrefu sana kupitia interview yake na alisema yy alikuwa upande wa Mmakonde hata mbele ya Diamond mwenyewe na ni kawaida tu ndani ofisi moja wafanyakazi kuteteana hata kama wafanyakazi ndo wamefanya makosa
Wote namba zao kwenye mziki zinasomeka vizuri sanaVipi kuhusu Lava Lava na Queen Dareen.
Ila Harmonize unamjua?Kwanza ndo hata sijui ndo nyimbo gani?
hilo la Harmonize kupaa umelisema wewe.Madale wapo uchi, harmo kapaa sana baada ya kufunguka etiee?😂
Linapokuja swala la ushabiki, masikini huwa mnatokwa na akili kabisa.
Najua una wakati mgumu sana ila hauna namna ila nenda kamwambie Mmakonde mwenzako afanye kazi nzuri na aache kulia lia kwa kutafuta huruma za watuKanafiki tu Hadi kesho kanamsnitch Domo K
Mmakonde ni level za zuchu,hamfikii hata marioo kwa lolote zaidi ya kujaza micheni shingoni,jana joto lote kavaa hood lazima ubongo uchemke aropokeSwala la Harmonize kujilinganisha na Mond iwe kwa pesa&investment, mafanikio kimziki, fanbase, Exposure na mambo mengine ni ujinga usio na kikomo, ambao umetamalaki kwake mpaka kwa mashabiki zake maana ukweli unafahamika kuwa hafiki hâta 50% ya Mond kwa chochote kile.
Kimziki ameshafeli, hakuna hâta ngoma yake ambayo imeenda mbali tangu atoke WCB, tofauti na KWANGWARU ambayo ilibebwa na uwepo wa huyo anaemtukana leo, ni ngoma gani nyingine kubwa aliyowahi kufanya??
Boss akifakisha lazima achanwe kumnyenyekea nyenyekea ni kufuga ubovu, harmonize anaweza asiwe sahihi ila diamond kashfa kama hizo anazo nyingi lakini kwakua ametengeneza fanbase kubwa huwezi kuta yanazungumziwa madhaumifu yake
Wakubadilika hapo sio harmonize, ni wote endapo kuna mahali wanakosea basi zisemwe tofauti zao.
Na sio kunyamazia madhaifu ya mwingine eti kisa huyo mtu ndiye aliyesaidia kumuinua mwingine kimuzuki, hapo hamtakua tofauti na jaji anayeendesha kesi ya mbowe.
Sasa alitegemea kuongozwa na seba ambae band zote alizoanzisha zimekufa kua atamshinda domo,mziki wako ukiwa mzuri utakua juu tu uhitaji nguvu kuwa juuHalafu harmo hana akili ya kuendesha hizi bifu kijanja na kibiashara kama wanavyofanya wazoefu (Kiba na Mond).
Alivyotoka WCB yéyé ndo alikuwa sa kwanza kuanza kumdiss mond kupitia miziki yake, na mpaka leo hakuna nyimbo yoyote ambayo ametoa bila kumdiss Mond, ila mwenzake ni mjanja katika namna ya kuziendea hizi bifu ndomaana hautamuona Mond akiitisha press ili mada iwe Harmonize.
Kazi aliyoifanya leo Harmo ni kazi ya kufanywa na akina HBABA, Babalevo, Juma lokole na machawa wengine, hizi amefikiria nini kwenda kujimwaga hivyo kwenye media? Kwahiyo akiguswa kidogo tena ataitisha press?
Mwenzake alivyo mjanja na mtulivu kwenye hizi mambo, baada ya harmo kumwaga shit yéyé amepost akiishukuru team yake kwa kifanikisha 100M stream kwenye mgoma yake ya INAMA.
Madale wapo uchi😅.hilo la harmonize kupaa umelisema wewe.
mbona umepanic namna hii!! nini shida 🤣 🤣 🤣
Mwambie Mmakonde mwenzako aache kulalamika na aendelee kupambana na mziki wake Coz fitna na figisu zipo kwa kila msanii hapa bongoHuu uzi wengi wamecomment kufuatana na mahaba yao na si uhalisia na mambo. Hata kusikiliza Konde boy alichosema hawajasikiliza. Kweli mahaba yakikujaa unakua upofu
mpo uchi sasa msipanic.Madale wapo uchi😅.
Ohoo me nilifikiri unapenda mziki wake, kumbe bado una mbanga za kushabikia hadi couple za wajuba?
Hata hivyo sio kosa lako ila ni kosa la umalaya wa Mama yako kukuzaa nje ndoayaani usikute kwa sababu hizi umeolewa na mwanaume mwenzio mahali, unakata vitunguu
Msaidieni kupeleka mbele kazi zake, kuna album katoa huko.Hizi mambo za madale wapo uchi hazitasaidia chochote.mpo uchi sasa msipanic.
kubali tu kuchutama yaishe, dogo amewavua gagulo mbele za wakwe.
Harmonize amewavuruga kweri-kweri 🤣Najua una wakati mgumu sana ila hauna namna ila nenda kamwambie Mmakonde mwenzako afanye kazi nzuri na aache kulia lia kwa kutafuta huruma za watu
Haaahaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wit ujue akili huna wewee!!umenchekesha sana ujue[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]!!!kaahh
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Halafu anasema yeye yuko juu kimziki,seba sio meneja yule anamtumia kupata pesa,heri angemchukua seven mosha kua meneja angemsaidia sanaIle "Mang'dakiwe" alipita nayo yote vilevile kaongezwa vimaneno kidogo, tayari akawa Teacher.