witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Jamaa lina roho iliyojipinda kama utumbo mdogo mweeh..Asante kwa kusimama kwenye ukweli hata mimi mwanzo niliona Hamo si muungwana ila nilipoangalia mahojino nimegundua iko shida kwa baba T
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa lina roho iliyojipinda kama utumbo mdogo mweeh..Asante kwa kusimama kwenye ukweli hata mimi mwanzo niliona Hamo si muungwana ila nilipoangalia mahojino nimegundua iko shida kwa baba T
Kwani Kuna jipya ambalo Harmonize kaliongeaHarmonize amewavuruga kweri-kweri 🤣
Sawa mmakondekati ya nyimbo 59 za konde ni nyimbo tisa tuu wasafi ndo walitoa gharama zao
hahaha!!Kwani Kuna jipya ambalo Harmonize kaliongea
Hahahaha daaaah😅,sisi binadamu tumeumbwa kipekee sana.Jamaa lina roho iliyojipinda kama utumbo mdogo mweeh..
Punguza kuponda mdauSuala sio first language hata ingekuwa ni fourth language, kwa msanii mkubwa kama yeye anatakiwa aimbe kitu kinachoeleweka, angekuwa hata na mtu anayepitia hizo verse zake na kumpa ushauri, shida ni kwamba anaimba kitu ambacho huko kwenye ngazi za kimataifa hakieleweki na huku kwetu sisi waswahili tunajikuta hatuelewi...kwa level yake sio muda wa kuonyesha uthubutu ni muda wa kufanya kitu kinachoeleweka kama anataka kutoboa kimataifa maana mziki wetu waliopo kwenye mainstream lugha ni shida ila wenzake wanajitahidi kuficha kidogo madhaifu yao kwenye hiyo lugha ya mzungu
Na kati ya ngoma zote ulizotaja,kama kuna iliyoenda kimataifa basi Mond alikuwa ndani ya kichupa.Tofauti na Kwangwaru ni ngoma gani nyingine kubwa kwa Harmo?kati ya nyimbo 59 za konde ni nyimbo tisa tuu wasafi ndo walitoa gharama zao
Ndio alichotakiwa kufanya hicho, yeye si ndio wanamuita Jeshi basi aendelee kupambana na Fitna za mziki na aache kulia lia na kutafuta huruma za Watanzania, na siyo peke yake kuna kina Ommy dimpoz, Shetta, Rich mavoko walilalamika na mwisho wa siku wameamua kutafuta mambo ya kufanya coz hii vita hawawezihahaha!!
hajaongea chochote ameshuka tu kwenye ndege na kuelekea kwake kupumzika.
Ohooo unahangaika na huyo kichaa? Hiyo huwa anawezana na mwenzake Innocent dependent.Ndio alichotakiwa kufanya hicho, yeye si ndio wanamuita Jeshi basi aendelee kupambana na Fitna za mziki na aache kulia lia na kutafuta huruma za Watanzania, na siyo peke yake kuna kina Ommy dimpoz, Shetta, Rich mavoko walilalamika na mwisho wa siku wameamua kutafuta mambo ya kufanya coz hii vita hawawezi
Diamond aliwahi pigana vita na watu waliojiita ndio wenye mamlaka ya mziki wa bongo Flava clouds media na akaishinda bila kulia mbele za watu na kutafuta huruma
Kwahyo nyie wamakonde mjiunganishe pamoja na mkapambane kama mtaweza Ngedele nyie
Relaaaax mwache kijana aongee mnataka afiche maovu yenu ili muendelee kumpaka ubaya.Ndio alichotakiwa kufanya hicho, yeye si ndio wanamuita Jeshi basi aendelee kupambana na Fitna za mziki na aache kulia lia na kutafuta huruma za Watanzania, na siyo peke yake kuna kina Ommy dimpoz, Shetta, Rich mavoko walilalamika na mwisho wa siku wameamua kutafuta mambo ya kufanya coz hii vita hawawezi
Diamond aliwahi pigana vita na watu waliojiita ndio wenye mamlaka ya mziki wa bongo Flava clouds media na akaishinda bila kulia mbele za watu na kutafuta huruma
Kwahyo nyie wamakonde mjiunganishe pamoja na mkapambane kama mtaweza Ngedele nyie
Sawa jumalokoleSawa mmakonde
Sasa kati yangu mimi na wewe nani ana mihemuko? Comment yangu yenye mistari minne umeijibu kwa gazeti refu lisilokuwa na point hâta moja zaidi ya kuchambana.Acha kua na mihemko, wapenzi wa nasibu msiwe na mihemko, Siwezi kujua ameachieve nini baada ya kutoka huko, yaweza kua mabaya au mazuri, ila ukweli unabaki pale pale kwamba nasibu sio mfano wa kuigwa, unamsaidia mtu then unaanza kua na roho mbaya akianza kukuzidi, halafu mbaya zaidi unasikiliza wapambe nuksi wenzio wanakujaza maneno, na bila kufanya uchunguzi wako unakurupuka kuanzisha chuki, ina mana kama sio simu ya JPM alikua asipewe termination contract, ni chuki za aina gani hizo..
Nasibu ana represent kati ya vijana wapumbavu ambao wanadhani unaposaidia mtu lazima akulipe fadhila, pia hutakiwi kufanikiwa zaidi yake in which hizo ni akili za kipumbavu..kumbe unaweza kua na pesa lakini ukawa na akili za kishamba na kipumbavu.
Hafai hata kwa kulumagia yulee!an anafsi ya Kimanyema...upande mwema upande mnaafiki ndo wako hvyo yaani!hataki kuzidiwaHaaahaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
We acha tu shost nimemsikiliza vizuri zaidi, Domo hafai[emoji57]
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji16][emoji16]!!hakuna hata moja yaani wanaijeria mwe!kile kiinglish nuksi!Punguza kuponda mdau
Mimi naamini hata wale wanaijeria wanaimba visivyoeleweka.....
Kama unataka uendelee kubishana weka hapa nyimbo za wanaijeria ulizozielewa
Hatariiiii!!!dunia hii!!!"Huniwezi kiserikali...Huniwezi kihela... Huniwezi kiuchawi" [emoji2221]
Isikilize tena hiyo clip ya harmoKulialia ni umama, mwanaume mengine unapotezea.
Nimeisikiliza sana.Isikilize tena hiyo clip ya harmo
Nisha gundua hana akili hata kidogo na ndio maana nimeachana naeOhooo unahangaika na huyo kichaa? Hiyo huwa anawezana na mwenzake Innocent dependent.