Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

Mimi nadhani Diamond labda kama anashindana na kina Davido, Wizkid and likes, lakini kwa Tanzania kashawapiga gape ukubwa hakuna fair competition, watu huwa hawaupendi tu ukweli.
Diamond kashapiga gape kubwa sana, hakuna anayekataa he is our icon hiyo ni fact kabisa lakini haimpi uhalali wa kuwazingua wengine wanaotafuta ugali kwa njia anazotumia yeye pia, sio sawa.
 
Ila lazima tukubali kila kitu kina kushuka, asipojiweka vizuri atakumbuka
 
Ile "Mang'dakiwe" alipita nayo yote vilevile kaongezwa vimaneno kidogo, tayari akawa Teacher.
Mkuu una uhakika hana copyrights mpaka kupewa nafasi ya kurudia ngoma hiyo au unadhani wanaenda enda tu chief? Hizi mambo zipo sana na ni business, nenda kamdiss Whitney Houston kurudia ngoma ya Dolly Parton au Jay Z ngoma ya Pac Me & My girlfriend, Dakika Moja AY na FA feat. Hard Mad wamerudia ya Ngwea dakika moja.. chimbua vitu chief
 
Rayvanny kwa harmonize haingii hata ukucha usimfananishe harmonize na upumbavu
Sasa maoni yako unalazimisha yawe maoni ya wote?

Ukiniuliza mimi nitakwambia Banana Zoro ndio the best, hao wengine wote mnajitutumuwa team ushuzi wanabebwa na mifumo tu ambayo ni hidden.
 
Kutema nyongo haisaidii chochote, back to Ommy dimpoz, sheta, rich maboko na wote hawa wanavipaji vya kufa mtu ila walipoanza kulalamika kwamba Diamond anawazibia riziki zao na tayari hiyo ilikuwa ni indication ya kufeli kwenye mziki

Back to Diamond during Ruge Era, he stand alone against big media tycoon and win the battle

Wamakonde Endeleeni kupambana na acheni kutia huruma mjini
Shetta yupo mbali sana chief, hategemei tena music same to Ommy labda Rich japo nae akiamua kuongea kuna mengi mazito sana basi tu..

Sasa chief unataka kuwapangia watu namna ya ku deal na vitu vinavyowatesa? Nikuulize kwahiyo kwa vile yeye alijisimamia ndio inampa uhalali wa yeye kuwazingua wengine ili wapambane kama yeye sivyo? Pole sana chief
 
Vichwa panz Ni miongon na wewe ,wapi jamaa hajamuappriciate Domo ?kijana alifaya rejesho vzr tu baadae huyo Domo akaanza kugomea kumpa mkataba wa harmo kuwa huru ,had jpm kuingilia Kati ,vipi kwa hapo Nan Ana roho mbaya ? Yaan umelipwa alafu hutak kusain Sasa kuwa tumemalizana fanya yako ,unaanza kumzungusha mwenzio na alipanga aende USA bila kumpa dogo mkataba wake lengo tu ampoteze dogo ,bahat nzuri serikal ikaingilia Kati had jamaa kuzuiwa uwanja wa ndege kuwa asiende USA bila kumalizana na dogo .

Kwa hili tu Domo alikuwa na ajenda mbaya kwa harmo na harmo alisaidiwa na jpm asingekuwepo jpm huenda had Leo Domo angekuwa anamkamua tu harmo kwa sabab za kijinga ,yaan mtu kwenda msiban kwa ruge et million 10 ,kwenda taifa kuchek mpira million 10.

Wote mnaomsaidia Domo nawana vilaza wa kutupwa tu full ushabik mavi ,why yeye tu agombane na kiba,dimpoz ,sheta,mavoko ,KONDE huoni huyo mtu ana roho ya kwann ? Na kajificha kwenye kivuli Cha kuwa na mashabik zero brain ambao hawajui hata kufikiria nje ya box? Uchawa wenu ndio unaua mzik wa tz .
Kwa aliongea harmo Kuna sehemu moja tu ndio sijapenda kuvujisha audio ya vanny pale ndio kazingua Sana Ila kwingine kote kanyoosha na tushaujua ukwel ambao uliacha maswal mengi
Amenisikitisha sana Konde, ndio maana jamaa alichora picha ya mzee mguuni na alilia sana.. Mondi, Sallam, Fella, Talle watu wabaya sana sio vizuri walivomfanyia dogo, mi sio fan wa Konde ila hii ni lesson kubwa sana kwa watu ambao bado tuna safari kubwa kimaisha.. binadam usiwaamini sana
 
Huyu mziki ushamshinda,album inafanya vibaya.

Sasa Diamond kama angetaka kila siku kuwa yy.

Kaanzisha lebo ambayo imemtoa yy.
Kampeleka nje kufanya video kubwa.
Kamkutanisha na wasanii wakubwa Africa.
Kamtoa Rayvanny mpaka kufikia hatua ya Colabo na Maluma na kuchukua BET,Tz hii Rayvanny ndiye mwenye nyimbo yenye streams nyingi, kapiga show jukwaa la essence, mafanikio ambayo Diamond hajawahi kuya fikia.

Angeamua kuto kuanzisha label tusinge mjua na Diamond ni mfanyabiashara, always ana angalia faida na label zote duniani zina angalia faida, hata yy na JembeniJembe wanaangalia faida.

Yeye mwenyewe kuimba aliambiwa hajui, Diamond kakaa nae zaidi ya miaka mitatu, akimfundisha na kumpika kimuziki na kuna watu walimwambia hajui kuimba ila Mondi hakukata nae tamaa, kula,kuvaa na kulala kwa Diamond.

Anadai WCB walikuwa wana muogopa yy, haya leo zaidi ya miaka miwili nje ya WCB, yupo yy peke yake,free habanwi je kafika wapi,kampita Diamond?Anapata airtime ktk media zote kubwa zilizo kuwa hazipigi nyimbo zake.

Halafu haja tuambia wasanii wake wanapata kiasi gani, mikataba yao miaka mingapi,wana miaka miwili hawa heleweki wanafanya nini.
Nani alisema Harmonize hajui kuimba, unaongea pumba kweli wewe.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Shetta yupo mbali sana chief, hategemei tena music same to Ommy labda Rich japo nae akiamua kuongea kuna mengi mazito sana basi tu..

Sasa chief unataka kuwapangia watu namna ya ku deal na vitu vinavyowatesa? Nikuulize kwahiyo kwa vile yeye alijisimamia ndio inampa uhalali wa yeye kuwazingua wengine ili wapambane kama yeye sivyo? Pole sana chief
Aya sawa
 
Una ulivyokuwa choko video wanagharamiwa wao kila kitu then apewe faidi hamna cha bure utakuja kuliwa
Juma lokole insta unatukana huku pia unatukana wewe mwanaume wa ajabu sijwahi kuona badaka ya hoja kutwa kutukana
 
Back
Top Bottom