elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Hapo kinachoangaliwa ni biashara sio mondi cos hakushikiwa kisu wakati anasign sikunyingine uache kuropoka.
Sio wivu bali Diamond mtu na ni kijana mwenye huruma sana ndio maana amemwambia alipe hizo million 500 maana kimsingi investiment hadi sasa ni zaidi ya hiyo!
Diamond angekuwa ni mtu mbaya angelimzuia asitumie zile nyimbo mpaka amalize lile deni lake lakini wamemuacha alipe pole pole mpaka amalize deni!
Haya ndio madhara ya kuvunja mikataba uliyo iingia mwenyewe na ukasahau kuwa kuna vipengele ulivisaini ukiwa na furaha sana...
Harmonize alipe hizo pesa
Kasikilize vizuri.. Harmo kawasifia sana wasafi hadi Clouds wakanunaDogo anaharibu sana kuwatukana Wasafi.
Nimesikia anasema alikuwa hayupo huru ndani ya Wasafi eti anafurahi kupata interview clouds alimis kuwa na amani.
Kwani kakwambia hajalipa? Keshalipa sehemu kubwa sana ya pesaSio wivu bali Diamond mtu na ni kijana mwenye huruma sana ndio maana amemwambia alipe hizo million 500 maana kimsingi investiment hadi sasa ni zaidi ya hiyo!
Diamond angekuwa ni mtu mbaya angelimzuia asitumie zile nyimbo mpaka amalize lile deni lake lakini wamemuacha alipe pole pole mpaka amalize deni!
Haya ndio madhara ya kuvunja mikataba uliyo iingia mwenyewe na ukasahau kuwa kuna vipengele ulivisaini ukiwa na furaha sana...
Harmonize alipe hizo pesa
We ujui kitu na ujui angle ipi clouds analaumiwa na kutokujua kwako sio kosa lako Bali ufuatilii mziki kiufupi unadandia dandia ungekuwa unafuatilia mziki vizuri usingeniuliza Hilo swaliHizi kauli mbona huwa hamzisemi ikiwa anayelaumiwa ni clouds media au marehemu ruge?
Mbona kwa ruge hamkuwa mkisema hivi. Nakumbuka case ya ruby mkataba akasaini mwenyewe then akalalama mwenyewe na watu wakamtusi ruge rip
Kwani kakwambia hajalipa? Keshalipa sehemu kubwa sana ya pesa
Kwahiyo Clouds watakuwa wanapiga nyimbo za harmonize alizoshirikiana na wasanii wa wasafi au wataendeleza utoto wa ku mute ?Kasikilize vizuri.. Harmo kawasifia sana wasafi hadi Clouds wakanuna
Huyo falaa tuu... mavoko nae alipotea njiaa legend kama yeye akaanze kuongozwa na mond lazima washindane
Kwahiyo Clouds watakuwa wanapiga nyimbo za harmonize alizoshirikiana na wasanii wa wasafi au wataendeleza utoto wa ku mute ?Daaah yani jamaa ndio amekubali kutumika na mawingu fm. RIP harmonize.
Kumbe ndio ametumia kuwaajiri wapiga porojo za mpira akina kanga na ku-mango kwenye tv yake,Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi.
Amesema kampuni ya Wasafi walimzuia kutumia chochote kilichotokana na Wasafi ikiwemo jina la Harmonize, nyimbo zake ,akaunt za mitandao ya kijamii na mengineyo.
Ili kuendelea kutumia nyimbo hizo imemlazima kulipa milion 500, amesema kuwa ameuza nyumba zake tatu na baadhi ya aseti na yupo kwenye hatua za kumalizia deni lake ili aweze kupiga nyimbo zake popote pale.
Kuhusu kugombea ubunge amesema kauli ya Rais ni kama sheria hivyo yupo tayari kutekeleza agizo la mheshimiwa.
2020 Harmonize mjengoni.!
Ameongeza kuwa ugomvi wa Vyombo vya habari unarudisha mziki nyuma.
Amewekea mfano Whozu na Marioo kuwa ni wasanii ambao wanashindwa wasimame na media ipi.
Hapa inaonesha kuna wasanii wengi wanapenda kushirikiana Wasafi fm ila wanaogopa kutengwa na Clouds.
Who r u referring to!? Me or Konde boy.!?Watz kwa kukadiria maisha ya watu hamjambo.
Utakuta mtu mwenye mentality hii analala chumbani na masufuria ya maharage chini ya uvungu.
mimi ninahatimiliki ya mkuyengeUnataka mkuyenge ausio???
Ila sio konde boy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mavoka alikuwa anatafuta pa kufiaa kumbe ndo alikuwa anaenda kuzikwa kabisaa
Nikweli kabisaJana Nimemwona QBoy Amebaki Kuwa Kinyozi Tu, Kariakoo !
Domo Ukimchekea Utabaki Kupata Tu Sifa Mitandaoni, Mademu, Na Show Offs.
Ukichokwa Unapigwa Chini, Unapotea.
Harmonize Kashtuka Mapema. Anaweza Kuinuka
Kumbe ndio ametumia kuwaajiri wapiga porojo za mpira akina kanga na ku-mango kwenye tv yake,
Nimemsikiliza Dozen hayupo kweny ule mzuka wake kama walivyomuweka mavoko mtu kati,mamy baby ndo alikuw anataka km kumcontrol konde kwa maswali kama akandie...konde akamchana no no no wacha kunigombanisha...et mamy baby ok ok!Nilicho kigundua clouds Bado wana tatizo na wasafi pia ata na harmonize..ila nikama kuna mkono mzito kama sio maagizo ya Boss yalio waforce wakubari ii interview...hawako confortable kabsa ..mzuka haupo...
Unaweza kuta hata Mondi na yeye hiyo 500 hana, wasanii hawa wanatulisha sana matango PoriHarmonize anakosaje mil 500 kwenye acc yake?????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Yani mpaka auzew nyumba na vyote alivyonavyooo... Aisee mondi afadhali ya Ruge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kiba mwanga yule hawezi kukubaliKOLABO HARMONIZE FT KIBA SOON