Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hata wewe kijana mdogo unaishabikia Liverpool huo Ni uchawi.naamini wachangiaji wengi waliopita ni under 35,ukiangalia comment nyingi zimekaa kichawi,so sad kwa sisi vijana kuwa na roho kama hizi eti kwa sbb tu ya mapenzi ya kitu au mtu fulani,vijana wa kitanzania tunauanza uchawi kwenye age hii!so sad
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu boss wetu akifanya kitu kinajipromote chenyeweJamani mbona hayo mambo ni kawaida sana au wenzetu mmeanza kutumia simu jana???
Team fulani mnakondea daily kwa kufatilia vitu vidogo vidogo, kwann hizo nguvu msizielekeze kumpromote boss wenu mvaa vikuku???
#Povu liwe jingi maana blankets zote chafu#
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hila hilo swala la kuvaa kikuku hata Mimi sipendezwi nalo Jana asubuh naenda kazini nakutana nakijana mdgo kavaa kikuku mguuni.aliniharibia siku palepale hapa nafanya mpango nipate namba yake nianze kumtongoza[emoji23]Jamani mbona hayo mambo ni kawaida sana au wenzetu mmeanza kutumia simu jana???
Team fulani mnakondea daily kwa kufatilia vitu vidogo vidogo, kwann hizo nguvu msizielekeze kumpromote boss wenu mvaa vikuku???
#Povu liwe jingi maana blankets zote chafu#
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu hamna kipya kafanya ndio maana nguvu, macho na akili mmezielekeza kwa mtu mpya... lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu boss wetu akifanya kitu kinajipromote chenyewe
Unataka kumtongoza boss wako huyo kijana???Hila hilo swala la kuvaa kikuku hata Mimi sipendezwi nalo Jana asubuh naenda kazini nakutana nakijana mdgo kavaa kikuku mguuni.aliniharibia siku palepale hapa nafanya mpango nipate namba yake nianze kumtongoza[emoji23]
Kila siku anafanya vitu vipya ndomana anazidi kupanda leo anaimba hallelujah miondoko ya reggae kesho anaimba rumba.Sababu hamna kipya kafanya ndio maana nguvu, macho na akili mmezielekeza kwa mtu mpya... lol
Mnazidi kupoteza nuru machoni roho mbaya ikizidi.
Watu mnachuki sana kwanini? Mungu ndiye mgawa riziki, wewe mwenywe huenda maisha yakk ni uselessKama jinsi ambavyo Mali na Idea za Kanumba zilishindwa kuendelezwa kwakua yeye hayupo, Ndivyo jinsi ambavyo Harmonize hawezi kukiendeleza kile alichotoka nacho WCB kwa mjenzi huru Diamond, atashuka hadi moja ili aanze kwa jitihada zake.Kuna wasanii wengi tu wenye vipaji Na mashairi zaidi yake kama Barnaba, Ben po, na wengne wengi lakini mbona hawakuhit kama yeye ndani ya miaka miwili.?? Mziki wa tz ni zaidi ya kuwa na kipaji yaani:-
Mziki= kipaji
Ila sio kila kipaji=Mziki
Kelele za mtoto amekua aachwe ajitegemee siku hizi zimekwzimekwisha
Hao ndo wabongo dukinaaa,jaziba nyiiingi kwa kujidai kupaza sauti sasasasa wakikugeuzia kisogo na kwenda kulala wanakuacha ufe na lako.