Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
naamini wachangiaji wengi waliopita ni under 35,ukiangalia comment nyingi zimekaa kichawi,so sad kwa sisi vijana kuwa na roho kama hizi eti kwa sbb tu ya mapenzi ya kitu au mtu fulani,vijana wa kitanzania tunauanza uchawi kwenye age hii!so sad