Wewe mpaka nikugegede ndio ujue kuwa maisha yangu sio useless eeh?? Stick kwenye mada mambo ya maisha yangu hayakuhusu, ila maisha ya harmo lazma yajadiliwe kwakua ni celebrity, na ukweli ni kwamba ule moto wake haupo tena.Watu mnachuki sana kwanini? Mungu ndiye mgawa riziki, wewe mwenywe huenda maisha yakk ni useless
Point [emoji122][emoji122][emoji122]Haters ni wengi.Hata kama atashuka kimziki sioni sababu ya kurudi WCB.Huu ni wakati wake wa kuanza kujiwekeza kama ni biashara ama chochote kitakachomnufaisha mbeleni.Hata mziki ukidorora bado aendelee kuwa na chapoo na heshima yake mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mpaka nikugegede ndio ujue kuwa maisha yangu sio useless eeh?? Stick kwenye mada mambo ya maisha yangu hayakuhusu, ila maisha ya harmo lazma yajadiliwe kwakua ni celebrity, na ukweli ni kwamba ule moto wake haupo tena.
Wewe unatarajia kuwa mchawi ukiwa na miaka mingapi ?naamini wachangiaji wengi waliopita ni under 35,ukiangalia comment nyingi zimekaa kichawi,so sad kwa sisi vijana kuwa na roho kama hizi eti kwa sbb tu ya mapenzi ya kitu au mtu fulani,vijana wa kitanzania tunauanza uchawi kwenye age hii!so sad
Unaweza kuwa wakwanza kwa wakati lakini uwezi ukawa wakwanza milele.Hata diamond hawezi kua kwenye pic milele.Utafika wakati na yeye atafifia ama atapotea kabisa ni jambo la wakati tu.Pia wasisahau Mond sio Mungu kwa Harmo ndio itakua mwisho wake wa maisha.Unapokutana na "changamoto" hazitufanyi tuzikimbie ama urudi nyuma (hapana)Dawa ni kuzi "face" na kukabiliana nazo.Point [emoji122][emoji122][emoji122]
Na save hiii[emoji122][emoji122] [emoji122]Unaweza kuwa wakwanza kwa wakati lakini uwezi ukawa wakwanza milele.Hata diamond hawezi kua kwenye pic milele.Utafika wakati na yeye atafifia ama atapotea kabisa ni jambo la wakati tu.Pia wasisahau Mond sio Mungu kwa Harmo ndio itakua mwisho wake wa maisha.Unapokutana na "changamoto" hazitufanyi tuzikimbie ama urudi nyuma (hapana)Dawa ni kuzi "face" na kukabiliana nazo.
Pia kila kitu anapanga Mungu.Harmo kipaji na ambiton alikua nayo.Diamond katumika kama njia tu ya kumfikisha panapotakiwa.Hata kama asingekua Diamond wakati wa Harmo kutoka ungefika angetoka tu hata iweje ni jambo la wakati tu...
Daimond hajaacha kuvaa hereni za kuning'inia hajaachaHayo mambo alishaachaga mkuu au ndo unaingia leo mtandaoni.
Niliona nisimjibu maana unaweza kua unabishana na kitoto cha form four kilichomaliza pepa juzi na mbaya zaidi kilisomea boarding school hukoooo sigimbi.Daimond hajaacha kuvaa hereni za kuning'inia hajaacha
Kwanini harmonize? Kwanini SIO Barnabas? Kwanini SIO marioo? Je harmonize ndio msanii pekee Tanzania mbona wapo wengi? Unasema anapotea mbona kila siku mnamzungumzia yeeye?Wewe mpaka nikugegede ndio ujue kuwa maisha yangu sio useless eeh?? Stick kwenye mada mambo ya maisha yangu hayakuhusu, ila maisha ya harmo lazma yajadiliwe kwakua ni celebrity, na ukweli ni kwamba ule moto wake haupo tena.
Na atakua kaazima simu ya mama ake mvumilie TU MPAKA atakapoirudisha huku ukiendelea kuomba jumatatu ifike MAPEMA kaende shuleNiliona nisimjibu maana unaweza kua unabishana na kitoto cha form four kilichomaliza pepa juzi na mbaya zaidi kilisomea boarding school hukoooo sigimbi.
Juzi kati hapa alikutana na davido dubaiLini amevaa?
Kumbe zile story kwamba wawili hawa hawaelewani sio za kweliJuzi kati hapa alikutana na davido dubai