Hiv kwa mfano leo hii aondoke lavalava na mboso WCB si watakuwa lulu uko clouds,WCB ipo kwa ajili ya kutengeneza wasanii wakubwa kwani kuongelewa harmo kinakuuma Nini? yaani anazungumzwa diamond ambaye ni no 1 artist kwa east Africa na anayefanya vizuri Africa na duniani sembuse harmonize.Niliwahi kusema,WCB hawawezi kutengeneza msanii mwingine wakufikia level ya Harmonize,Ndo mana baada ya kujitoa wana tumia nguvu kubwa kumkatisha tamaa ili arudi kupga goti,Badala wawapromote akina mbosso na akina Lavalava wanao pumulia mipira eti wako busy na konde boy,Tukimwondoa Diamond ni msanii gan tena ametoa hit ya kueleweka pale WCB toka Harmonize ajitoe? Achen uchawi.