Harmonize tumekushtukia

Harmonize tumekushtukia

Niliwahi kusema,WCB hawawezi kutengeneza msanii mwingine wakufikia level ya Harmonize,Ndo mana baada ya kujitoa wana tumia nguvu kubwa kumkatisha tamaa ili arudi kupga goti,Badala wawapromote akina mbosso na akina Lavalava wanao pumulia mipira eti wako busy na konde boy,Tukimwondoa Diamond ni msanii gan tena ametoa hit ya kueleweka pale WCB toka Harmonize ajitoe? Achen uchawi.
Hiv kwa mfano leo hii aondoke lavalava na mboso WCB si watakuwa lulu uko clouds,WCB ipo kwa ajili ya kutengeneza wasanii wakubwa kwani kuongelewa harmo kinakuuma Nini? yaani anazungumzwa diamond ambaye ni no 1 artist kwa east Africa na anayefanya vizuri Africa na duniani sembuse harmonize.
 
Kwanini harmonize? Kwanini SIO Barnabas? Kwanini SIO marioo? Je harmonize ndio msanii pekee Tanzania mbona wapo wengi? Unasema anapotea mbona kila siku mnamzungumzia yeeye?
Kwahiyo ulitaka kwenye uzi unaomzungumzia harmo nicomment about Marioo na Barnaba? Nadhani wakati unareply comment yangu haukuwa na kichwa na sijui nani alikuwa amekushikia otherwise acha bangi..!!!
 
Niliwahi kusema,WCB hawawezi kutengeneza msanii mwingine wakufikia level ya Harmonize,Ndo mana baada ya kujitoa wana tumia nguvu kubwa kumkatisha tamaa ili arudi kupga goti,Badala wawapromote akina mbosso na akina Lavalava wanao pumulia mipira eti wako busy na konde boy,Tukimwondoa Diamond ni msanii gan tena ametoa hit ya kueleweka pale WCB toka Harmonize ajitoe? Achen uchawi.
Kwahiyo kwa kuona Harmonize ni mkubwa sana pale ndiyo mkaenda kumshauri aende kumenejiwa na mtu anajiita Jembe ni Jembe?😀😀😀😀


Me nilidhani anaondoka pale ana mkakati mzuri na wa kueleweka kumbe mashudu🤣🤣
 
Mbona hivi vitu nivyakawaida bongo kiufupi konde katoka wcb .. na huu mchezo wanao wcb kufanya konde boy ndo imekuwa shida tatizo nimoja konde kipindi yupo wcb alikuwa mzuri sasa kutoka nimbaya tena . Ikumbukwee kuwa diamond angebakii kwa papa misifa .. sidhani angekuwa hapaa so tumpush konde ili tuwe na wawili wanaotutambulisha Tanzania. Maana konde anajitumaa .. sana
 
Kaka dunia acha mapenzi wewe .. World.. davido wenyewe hajafikia hukoo
Hiv kwa mfano leo hii aondoke lavalava na mboso WCB si watakuwa lulu uko clouds,WCB ipo kwa ajili ya kutengeneza wasanii wakubwa kwani kuongelewa harmo kinakuuma Nini? yaani anazungumzwa diamond ambaye ni no 1 artist kwa east Africa na anayefanya vizuri Africa na duniani sembuse harmonize.
 
Kwahiyo kwa kuona Harmonize ni mkubwa sana pale ndiyo mkaenda kumshauri aende kumenejiwa na mtu anajiita Jembe ni Jembe?😀😀😀😀


Me nilidhani anaondoka pale ana mkakati mzuri na wa kueleweka kumbe mashudu🤣🤣
Mkuu hata Mimi nilifkr konde boy amekaa chini ameng'amua na amejipanga vyema, nilipatwa waswas alipotoa wimbo wa UNO, sijakaa Sawa ametoa boko jingine la mipasho hapo nikajua jamaa ni mweupe kichwan, yaan unaanza kutengeneza himaya yako alaf unatoa boko hvyo , na hzi skendo za kufungiwa YouTube mara kukopy clip ndo nikaconclude jamaa ni la saba kwelikweli...
 
Mbona hivi vitu nivyakawaida bongo kiufupi konde katoka wcb .. na huu mchezo wanao wcb kufanya konde boy ndo imekuwa shida tatizo nimoja konde kipindi yupo wcb alikuwa mzuri sasa kutoka nimbaya tena . Ikumbukwee kuwa diamond angebakii kwa papa misifa .. sidhani angekuwa hapaa so tumpush konde ili tuwe na wawili wanaotutambulisha Tanzania. Maana konde anajitumaa .. sana
Mkuu Mond alipotoka huko alikuwa anatoa mawe hasa , Ngoma kama nikimwona ikisikika kwenye spika tu inachafua Hali ya hewa , sasa huyu anatoka alafu anaibukia na UNO na maskendo kibao, sasa hv katoa tena mipasho , nahs kaishiwa mashairi au Hana mshauri mzuri
 
Mkuu hata Mimi nilifkr konde boy amekaa chini ameng'amua na amejipanga vyema, nilipatwa waswas alipotoa wimbo wa UNO, sijakaa Sawa ametoa boko jingine la mipasho hapo nikajua jamaa ni mweupe kichwan, yaan unaanza kutengeneza himaya yako alaf unatoa boko hvyo , na hzi skendo za kufungiwa YouTube mara kukopy clip ndo nikaconclude jamaa ni la saba kwelikweli...
Ningekuwa yeye ningeshaipiga chini management nzima. Kitendo cha ngoma kuondolewa youtube tayari ni kufeli kwa management. Yaani wameshindwa kusolve swala mapema.


Domo ana mamanager watatu wazoefu kwenye game mmoja wa nje ya nchi. Na Diamond ni msanii mkubwa sio mjinga yule.

Nilifurahi yeye kutoka lakini alikokwenda ndio tatizo.
 
Kelele za mtoto amekua aachwe ajitegemee siku hizi zimekwzimekwisha

Hao ndo wabongo dukinaaa,jaziba nyiiingi kwa kujidai kupaza sauti sasasasa wakikugeuzia kisogo na kwenda kulala wanakuacha ufe na lako.
Mavimavi
 
Shatan wishez
Tulisema mapema huyo jamaa hawez watu oooh amekua , sjui niaje niaje , amekua ndo kuiba iba idea za watu tena watu ambao wapo exposed ? Mpak unafungiwa YouTube hujajua Tu kuwa wew na management yako haupo matured ?? Harmonize is dead and gone
 
Huyu kijana naona anazidi kushuka mdogo mdogo yani yeye na management yake yoote Ni watu wa ovyo saaana.juzi kaiba clip ya dancer wa Nigeria ambayo walikua wanacheza nyimbo ya zlatan.yeye akaichukua na kuingizia nyimbo yake mpya ya kushoto kulia ili ionekani imepasua anga zaidi akajua watanzania Ni mafara.wakaamua kumtagg yule bidada aliyecheza hile clip na alifika na kucomment kuwa Nani haliye mruhusu kuingizia nyimbo yake bira ruhusa.[emoji16][emoji16]

View attachment 1269807View attachment 1269808
Usishangae sana vitu vya kawaida hivyo mbona domo naye kaiba sana idea za watu au hujui hilo nalo kama hujui sema nikuambie?
 
Kwahiyo ulitaka kwenye uzi unaomzungumzia harmo nicomment about Marioo na Barnaba? Nadhani wakati unareply comment yangu haukuwa na kichwa na sijui nani alikuwa amekushikia otherwise acha bangi..!!!
Nyie si ndo mnasema harmonize anapotea mbona kila siku mnamuanzishia thread kumzungumzia? Halafu sijui unatumia matako kufikiria hizi drama anazofanya harmo domo alishawahi kuzifanya sana TU na watu walisema atapotea but MPAKA Leo jamaa yupo TU harmo KWA sasa HV ni hot cake na ndio no2 trending artist nyuma ya domo halafu mnasema anapotea? Anapoteaje wakati kila siku mnamzungumzia? Mbona humzungumzii belle9 ambaye kapotea umekomaa na harmo? Au barnanba anayeelekea kupotea
 
Kwahiyo kwa kuona Harmonize ni mkubwa sana pale ndiyo mkaenda kumshauri aende kumenejiwa na mtu anajiita Jembe ni Jembe?😀😀😀😀


Me nilidhani anaondoka pale ana mkakati mzuri na wa kueleweka kumbe mashudu🤣🤣
Mikakati mizuri IPI? Hebu tupe hints? LABDA unaweza kuwa na mikakati mizuri kuliko jembe ni jembe
 
Wasanii wengi WA wcb ni wabovu,ubovu wao hauinekani kwasababu ya power waliyonayo wcb mmoja wao ndio huyu anaetoa maboko kila siku na haya maboko anayoyatoa angekuwa wcb yangekuwa hit dunia nzima na watu wangemsifia na threads zingeanzishwa km mia kumlinganisha na kina wizkid,davido n.k ila kwakua hayupo wcb watu wanaona ni maboko
 
Kama jinsi ambavyo Mali na Idea za Kanumba zilishindwa kuendelezwa kwakua yeye hayupo, Ndivyo jinsi ambavyo Harmonize hawezi kukiendeleza kile alichotoka nacho WCB kwa mjenzi huru Diamond, atashuka hadi moja ili aanze kwa jitihada zake.Kuna wasanii wengi tu wenye vipaji Na mashairi zaidi yake kama Barnaba, Ben po, na wengne wengi lakini mbona hawakuhit kama yeye ndani ya miaka miwili.?? Mziki wa tz ni zaidi ya kuwa na kipaji yaani:-

Mziki= kipaji
Ila sio kila kipaji=Mziki
Una uhakika mond ni "mjenzi huru" au unaropoka tu unao ushahidi au ni story za vijiweni ?
 
Back
Top Bottom