Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Waswahili wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.

Baada ya kusikia kwamba Mbosso anaachia EP yake siku ya Ijumaa tarehe 28, October. Basi kama kawaida mzee wa kuvizia upepo ili abaki kuwa relevant Harmonize naye akaitangaza siku hiyo kuwa atatoa album na yeye.

Sasa ni wazi ameyakanyaga, mnyoosho atakaopewa na Mbosso hatokaa asahau. Mbosso anaenda kumnyoosha haswa na akibuma atarudi kwa wajinga wenzie kuilaumu WCB kama kisingizio.
 
Waswahili wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.

Baada ya kusikia kwamba Mbosso anaachia EP yake siku ya Ijumaa tarehe 28, October. Basi kama kawaida mzee wa kuvizia upepo ili abaki kuwa relevant Harmonize naye akaitangaza siku hiyo kuwa atatoa album na yeye.

Sasa ni wazi ameyakanyaga, mnyoosho atakaopewa na Mbosso hatokaa asahau. Mbosso anaenda kumnyoosha haswa na akibuma atarudi kwa wajinga wenzie kuilaumu WCB kama kisingizio.
Mwaka 2022 ndio unaishilia hivyo kuna chochote unachoweza kujivunia katika mafanikio yako ..au ndio walewale wa kujipa matumaini......sidhani kama mambo ya mbosso na harmonize yanakupa chochote kwenye uliwengu wa leo uliojaa ushindani na vita
 
Mwaka 2022 ndio unaishilia hivyo kuna chochote unachoweza kujivunia katika mafanikio yako ..au ndio walewale wa kujipa matumaini......sidhani kama mambo ya mbosso na harmonize yanakupa chochote kwenye uliwengu wa leo uliojaa ushindani na vita
Mwaka huu nimeongeza gari nyingine.

Nimepata kazi kubwa mbili ambazo nimelipwa kiasi ambacho naweza kaa miaka 6 sifanyi kazi nikala na kulala pazuri.

Ofisi yangu imezidi kutanuka sasa hivi kuna mambo namalizia nataka niweke hela kwenye misosi probably kuanzia mwakani nitaweza anza vifaa vilichelewa kidogo kufika.

Ukiachana na mafanikio mengine madogo madogo.
 
Back
Top Bottom