Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

Mwizi humuhisi kila mtu anaiba, mimi sijazungumzia muziki bali nimezungumzia comments zenu umeshaanza kuniita chawa, je ninge-comment kuwa nimezikubali zaidi nyimbo za Mbosso ungeeniitaje?
Diamond ndiye mtu anayeongoza kwa fan-base Tanzania lakini kuna wengi tu wanaona wanamuziki wengine wanaimba vizuri zaidi yake vivyo hivyo hata nyimbo za Harmonize na Mbosso watu watatofautiana mitazamo.
Kulazimisha kila mtu awe na mtazamo wako nadhani huo tuuite uchawa.
Tushawazoea hao wamechanganyikiwa, wanaangaika tangu mwaka 2009 mpaka leo chuma bado kimesimama dede
 
Jeshi
Screenshot_20221103-192415.jpg
 
Mwizi humuhisi kila mtu anaiba, mimi sijazungumzia muziki bali nimezungumzia comments zenu umeshaanza kuniita chawa, je ninge-comment kuwa nimezikubali zaidi nyimbo za Mbosso ungeeniitaje?

Diamond ndiye mtu anayeongoza kwa fan-base Tanzania lakini kuna wengi tu wanaona wanamuziki wengine wanaimba vizuri zaidi yake vivyo hivyo hata nyimbo za Harmonize na Mbosso watu watatofautiana mitazamo.
Kulazimisha kila mtu awe na mtazamo wako nadhani huo tuuite uchawa.
[emoji2936][emoji2935]
Facts 100%✓
 
Back
Top Bottom