MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Mwendo umekuwa mgumu sana, Harmonize anazidi kubadilisha gemu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tuliambiwa atapotea?Mwendo umekuwa mgumu sana, Harmonize anazidi kubadilisha gemu.....
Aisee, naona juhudi zimegonga jiwe la barafu kama Titanic......Si tuliambiwa atapotea?
Mjinga amepambanisha imebidi tulete data
Halafu wengi sio rizikishida ya wcb ni machawa wengi[emoji23][emoji23][emoji23].
Yaani hata halitumii nguvu kuimba,.....Huyu mbosso kwa mashairi yake utadhani anaimba taarabu. Harmonize lile jamaa linajua mziki
Mambo ni mazito, Mbosso kamkimbiza mmakonde na chupi mkononi.Leteni mrejesho
Promotion and marketing ndio imefanya WCB kuwa lebo pekee iliyofanikiwa Tanzania.Linganisheni na gharama za promotion. Akili zenu ni za bata.
Si tuliambiwa atapotea?
Shida ya WCB ni machawa wengi[emoji23][emoji23][emoji23].
Halafu wengi sio riziki
Huyu Mbosso kwa mashairi yake utadhani anaimba taarabu. Harmonize lile jamaa linajua mziki
Machawa mmepotelea wapi😁😁 haya na anjela kafukuzwa huko , danga linazdi kutafna hela , kufikia January atatoa Albam nyingine ili ale za platform mana Hana endorsement nyingine za kulihandle mama la mamaYaani hata halitumii nguvu kuimba,.....
Ni ya kweli hayo mkuu kuwa anjela kafungashiwa viragoMachawa mmepotelea wapi[emoji16][emoji16] haya na anjela kafukuzwa huko , danga linazdi kutafna hela , kufikia January atatoa Albam nyingine ili ale za platform mana Hana endorsement nyingine za kulihandle mama la mama
Kiukweli mbali na muziki, sijaelewa hata kimoja ulichoandika hapa. Hayo mengine ya msanii huwa sina muda wa kuyafuatilia kabisa.Machawa mmepotelea wapi😁😁 haya na anjela kafukuzwa huko , danga linazdi kutafna hela , kufikia January atatoa Albam nyingine ili ale za platform mana Hana endorsement nyingine za kulihandle mama la mama
Hapo Ni sawa na kumshindanisha Zuchu na Burna boy😂Mboso Hana jeuri ya kushindana na Harmonize
Mashabiki wa jf hawana tofauti na watamaduni music coz huku jf best female artist ni Ruby.Mambo ni mazito, Mbosso kamkimbiza mmakonde na chupi mkononi.
Sehemu ambayo mmakonde kafanikiwa ni jamiiforum kwa wenye chuki na roho mbaya.
Ila kwingine kote habari yaemjini ni EP la Mbosso mpaka kwa bodaboda kitaa limeenda.
View attachment 2402409
Hakuna kitu kibaya kama njaaNitawaletea matokeo mjifunze muziki wa bongo [emoji23][emoji23]
kila siku kwenye ipo kwenye playlistDaaaah huyu jamaa Moto "Leave me alone" sijui kaiandikia chooni