Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

Harmonize umeyakanyaga kwa Mbosso, unaenda kupigwa kama ngoma!

0A3EC3F6-D8B4-4184-984D-D470E342BD2A.jpeg
5F380878-1CFE-4FE5-8E16-1AE6DBCEA3A8.jpeg
 
Waswahili wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.

Baada ya kusikia kwamba Mbosso anaachia EP yake siku ya Ijumaa tarehe 28, October. Basi kama kawaida mzee wa kuvizia upepo ili abaki kuwa relevant Harmonize naye akaitangaza siku hiyo kuwa atatoa album na yeye.

Sasa ni wazi ameyakanyaga, mnyoosho atakaopewa na Mbosso hatokaa asahau. Mbosso anaenda kumnyoosha haswa na akibuma atarudi kwa wajinga wenzie kuilaumu WCB kama kisingizio.
Mtotoo Amelowaa amelowaa amenyeshewa na Mvuaa
 
Back
Top Bottom