sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #61
Walipokuwa kwa Ali Kiba tuliwaambia atapasuka vibaya wakakaza fuvu, sasa tukiwaambia Hamo shughuli yake ishaisha wamekuwa matomasoMashabiki wa jf hawana tofauti na watamaduni music coz huku jf best female artist ni Ruby.
Wanao msifia konde wote humu hawajaenda kustream.