sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #61
Walipokuwa kwa Ali Kiba tuliwaambia atapasuka vibaya wakakaza fuvu, sasa tukiwaambia Hamo shughuli yake ishaisha wamekuwa matomasoMashabiki wa jf hawana tofauti na watamaduni music coz huku jf best female artist ni Ruby.
Wanao msifia konde wote humu hawajaenda kustream.
Ebwana hyo ngoma naweka reply masaa kadhaa hivi halafu Kuna huyu aby chams kaupiga mwingi humoDaaaah huyu jamaa Moto "Leave me alone" sijui kaiandikia chooni
Kiukweli mbali na muziki, sijaelewa hata kimoja ulichoandika hapa. Hayo mengine ya msanii huwa sina muda wa kuyafuatilia kabisa.
Machawa wa konde gang , lazima mjifanye hamuelewi , nyimbo mnazosema Kali Ila bado zinalag behind , ni kama kujitekenye na kucheka wenyewe .... !! Ushuhuda wa kujishuhudia mwenyewesame as myself
Mtafute UMUGHAKA akusaidieTheStoryTimeFacts [emoji310]
Habari [emoji112]
Naitwa Erry Mars ni msimuliaji wa Historia,makala na simulizi
Nathamini sana mchango wako ndugu [emoji120],Naomba support yako nisaidie ku SUBSCRIBE na kugusa KENGELE kwenye channel yangu.[emoji120]
Link Bonyeza Hapa[emoji116]
Asante sana [emoji120]
Mbosso yan simuelew hata anaimba nini, nikajua ni mimi peke yangu.Huyu Mbosso kwa mashairi yake utadhani anaimba taarabu. Harmonize lile jamaa linajua mziki
Wewe umejuaje kama hatujastream..Mashabiki wa jf hawana tofauti na watamaduni music coz huku jf best female artist ni Ruby.
Wanao msifia konde wote humu hawajaenda kustream.
Hivi mnaifahamu biashara ya muziki kweli au mnaleta ushabiki maandazi tu humu? Pesa za Ziiki inabidi zirudi kwa hiyo lazima watoe ngoma la sivyo mikataba itawabana mno.Waswahili wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.
Baada ya kusikia kwamba Mbosso anaachia EP yake siku ya Ijumaa tarehe 28, October. Basi kama kawaida mzee wa kuvizia upepo ili abaki kuwa relevant Harmonize naye akaitangaza siku hiyo kuwa atatoa album na yeye.
Sasa ni wazi ameyakanyaga, mnyoosho atakaopewa na Mbosso hatokaa asahau. Mbosso anaenda kumnyoosha haswa na akibuma atarudi kwa wajinga wenzie kuilaumu WCB kama kisingizio.
🤔🤔🤔maneno yako kama ya kweli hiviMitaa inamsikiliza Harmonize na sio Regina itakuwa Mbosso, Ogopa sana msanii anaeweza kuandika chochote kuhusu maisha yake alafu watu wanamuelewa na magoma yake yanaitika.
Wewe huwezi nifundisha mimi biashara ya muziki, acha tu niishie hapo.Hivi mnaifahamu biashara ya muziki kweli au mnaleta ushabiki maandazi tu humu? Pesa za Ziiki inabidi zirudi kwa hiyo lazima watoe ngoma la sivyo mikataba itawabana mno.
Harmonize alipewa 1.1 billion kusaini Ziiki na WCB wasafi walipewa $5 million. Kwa hiyo inabidi pesa za watu zirudi.
Watu hawako serious, Hamna nyimbo mule ya kufananisha na Album ya Harmo labda aloimba na mondi na ndo imebeba hyo EP yao eti kuna nyimbo kaimba na Muarabu[emoji23][emoji23][emoji23] alimradi vituko tu
Umeloa tayari😅Waswahili wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata.
Baada ya kusikia kwamba Mbosso anaachia EP yake siku ya Ijumaa tarehe 28, October. Basi kama kawaida mzee wa kuvizia upepo ili abaki kuwa relevant Harmonize naye akaitangaza siku hiyo kuwa atatoa album na yeye.
Sasa ni wazi ameyakanyaga, mnyoosho atakaopewa na Mbosso hatokaa asahau. Mbosso anaenda kumnyoosha haswa na akibuma atarudi kwa wajinga wenzie kuilaumu WCB kama kisingizio.
😅😅😅, mkuu kumbe ulielewa ila hauna muda wa kuyafuatilia tu.Kiukweli mbali na muziki, sijaelewa hata kimoja ulichoandika hapa. Hayo mengine ya msanii huwa sina muda wa kuyafuatilia kabisa.
Tumia akili za kuzaliwa usipende kufuata mkumbo kwa hiyo hapo ndo unaonesha ubora wa album, Kati ya Nyimbo 14 mpya ni ngapi? Huyo mbosso mtoto mdogo sana yaani WCB team nzima wamekaa kutunga hiyo + Promo lakini hawawezi kufikia hyo album Ep kama hufahamu halafu Jeshi one man army katoa album mwenyewe give him respect.
Anacho fanya yeye na unachofanya wewe ni yaleyale sema mko pande mbili tofauti, toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndiyo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.[emoji23][emoji23][emoji23],Duuh hapo nimeelewa huyu kumbe ni chawa, yeye kazi yake kusifu huku na kuponda kule.
Sawa mkuu,Wewe huwezi nifundisha mimi biashara ya muziki, acha tu niishie hapo.
Mwizi humuhisi kila mtu anaiba, mimi sijazungumzia muziki bali nimezungumzia comments zenu umeshaanza kuniita chawa, je ninge-comment kuwa nimezikubali zaidi nyimbo za Mbosso ungeeniitaje?tupo tofauti kabisa ndiyo maana kwanza nilianza kusikiliza nyimbo zote za mbosso na then nkasikiliza nyimbo za harmo, na sikusema nyimbo za mbossi ni mbaya ila huwezi mvunjia heshima harmo kwa sababu ya mbosso, ukweli usemwe Album ya hamo ni kali kuliko EP ya mbosso. kama na wewe ni chawa sawa ila kama ni shabiki wa muziki utakuwa umenielewa.