mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Mbona wengi mumekasirika, kwani kuna tatizo kwa huyu bwana mdogo kumpenda huyu bibi? Mmekua kama mungu watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huzuni.....Baada ya Jacqueline Wolper kuthibitisha penzi lake kwa msanii wa WCB, Harmonize, muimbaji huyo wa ‘Bado’ ameibuka na kudai kuwa muigizaji huyo ni mke wake, na anachosubiri ni kuhalalisha tu.
![]()
Uhusiano wa wawili hao hauna hata mwezi tangu uweke bayana.
Akiongea na kipindi cha The Premier cha Kings FM, Harmonize alisema hajali watu wanavyosema kuwa Wolper ana umri mkubwa kumzidi.
Msikilize zaidi hapo chini akiongelea mahaba yake na Wolper.
Harmonize - Kuhusu Wolper - download and stream
Daaah,.uminikumbusha ming'oko bwana ww baah!!!kunogaa inajua kulelesaa bariidii n'damonii humoo chaa[emoji23] [emoji23]acha ushamba we nangu nangu! umetoka sitimbi uko umekuja dar kutafuta maisha, unaacha kuchanga ili uwasaidie ndugu zako unaanza kuleta usengelema na kanyimbo kako kamoja ako, we lete ujinga wako town apa urud kwenu uko ukalime ming'oko! kick hazitafutwi ivyo mdogo wangu
huyu dogo ana akili sana...njia alizopitiadiamond na yeye anapita hukohukoKweli tatizo ni timu..
Sasa mnaofikiri Harmonize kuwa na Wolper ndo ataporomoka kimuziki mmekosea sanaa.
Harmonize anamtumia Wolper kama daraja ya kufanikiwa zaidi.
Ref: diamond and wema mlidisi sana hvyo dogo na yeye anapitia njia hiyo hiyo kufikia mafanikio.
ok, Time will tell... yetu macho[emoji102]
Wolper kupata mwanaume mwenye hadhi hawezi ndo mana anakimbilia matinaja. Tatizo harmonizer anatumia njia aliyotumia daimond na sikuhizi kiki zinapuuzwa mbona bongo flavour za zamani zilikuwa nzuri no kiki na upumbavu.Ni huzuni.....
Kwa vijana kuanza kula malapulapu...
Wa hivi wako wengi sana
Ila mwisho wao...ni Mungu anaujua.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mke au mama yake mlezi? Child abuse!
[emoji85] [emoji12] [emoji12] [emoji12] makonde tena Injini kiunoNjini kutamu..baaaaah
Kheeeee kumbe ilikuwa longtime eeeeh basi SawaUkizingatia wana mwezi mmoja na wiki 2, mbwembwe kibaoooo,
"ujinga mzigo"
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87]'mtoto wa maskini' katafute hela ya maandazi huko,
Achana na sisi.
*msikutu=ulitaka kuongea upupu gani?[emoji16] [emoji16]
HahahahaKheeeee kumbe ilikuwa longtime eeeeh basi Sawa
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji5][emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87]
Weeeh acha utani mpaka wanaume pia wana injini viuno? Nikajua ni wakike tu.[emoji85] [emoji12] [emoji12] [emoji12] makonde tena Injini kiuno
Mkuu hata kama ni kiki siwezi toka na huyo mama na harmonize kakosea sana alishindwa nn kutafuta mtoto mkali afu akambrand kupitia kampuni yao ya WCB ..??? namshauri angalie vijana wenzake kama Baraka da prince alivyovuta kitu hatari yeye atabakia tu kiki siku zinaenda,,[emoji22]Kiki hiyo !!!
Ndiooooo baba Wa mtoto wangu makonde shkamooWeeeh acha utani mpaka wanaume pia wana injini viuno? Nikajua ni wakike tu.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji85]Usifanye masihara kumpata mwanamke ambae enzi hizo ulikuwa unampigia nyeto