Unaujua ule "Mabata madogo dogo yanaogelea"?!ana wimbo japo mmoja niusikilize???
anajitengenezea mazingira mazuri ya kuwa karibu na majambazi naonaHuyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
Umeona mbali mkuu [emoji19] [emoji19] wanamtumia tu!!@Ndio maana ni ngumu kwa tajiri kuuona ufalme...huu ni udhalilishaji,kisa maskini ndio ageuke kufanywa kituko!
Makonda inabidi awatembelee hao, hizo spea zina walakini!!!!?Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
tehe tehe tehe kweli kabisa vya kujumlisha ni vingiOngezea ujinga+umasikini
Huyo bosi nae hana akili.Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
Ongeza elimu elimuOngezea ujinga+umasikini
Hahahahahahaha nyimbo zingine ataimba za naniiYna kasema mwezi ujao anaaanza world tour
Hayupo kwenye list alienda kuhakiki jina lakea
natakiwa aunganishwe central