Harmorapa Fans' Special Thread...

Harmorapa Fans' Special Thread...

we unaona kuna akili hapo. ngoja wampagawishe wambebeshe unga ndo ataelewa
 
Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
anajitengenezea mazingira mazuri ya kuwa karibu na majambazi naona
 
Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
Makonda inabidi awatembelee hao, hizo spea zina walakini!!!!?
 
Huyo dogo asiwaumize kichwa hizo pesa ni za huyo manager/boss wake na sio kimziki tu huyo Harmorapa anauza duka la huyo bosi (bosi anauza magari na spares) hivyo dogo akishapokea mkwanja wa mahesabu kama hivyo ndo anapiga picha.
Source: TV 1, dogo alikiri kuuza duka la bosi na hizo pesa ni za mahesabu
Huyo bosi nae hana akili.
 
Nahisi kuna kampeni flani anatengenezewa uyu..
 
afu wakishutumiwa na madawa ya kulevya wanaanza kulia lia tu.
 
Back
Top Bottom