Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kwanini asijiunge na original comedy maana anafaa kuchekesha zaidi kuliko kuimba
Huyu dogo wacha wambeze ila atafika MbaliHarmo rapa kiboko ya mabishoo
Mkuu weka kapichaDar es Salaam. Mwanamuziki Kriticos kutoka Ubelgiji amewasili nchini kwa ajili ya kutengeneza wimbo wa pamoja na mwanamuziki Harmorapa.
Kriticos ambaye anaimba miondoko ya kufokafoka, (rap) amesema ameupenda uimbaji wa Harmorapa na ndiyo sababu ya kuamua kufanya naye kazi.
Aliyazungumza hayo muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo mchana.
Kwa upande wake Harmorapa anayetamba na wimbo wa Kiboko ya Mabishoo alisema ujio huo ni heshima kubwa kwake.
Harmorapa amewataka mashabiki wake kukaa tayari kupokea ngoma hiyo itakayotengenezwa na mtayarishaji wa muziki, P-Funk Majani.
My Take.
Harmorapa ndiyo mwanamziku bora kabisa kwa kipindi hiki na ataipeperesha vema sana bendera ya nchi yetu kimataifa. Tumuombee tu.
Source: Mwananchi.
Mafanikio mema tunamtakiaDar es Salaam. Mwanamuziki Kriticos kutoka Ubelgiji amewasili nchini kwa ajili ya kutengeneza wimbo wa pamoja na mwanamuziki Harmorapa.
Kriticos ambaye anaimba miondoko ya kufokafoka, (rap) amesema ameupenda uimbaji wa Harmorapa na ndiyo sababu ya kuamua kufanya naye kazi.
Aliyazungumza hayo muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo mchana.
Kwa upande wake Harmorapa anayetamba na wimbo wa Kiboko ya Mabishoo alisema ujio huo ni heshima kubwa kwake.
Harmorapa amewataka mashabiki wake kukaa tayari kupokea ngoma hiyo itakayotengenezwa na mtayarishaji wa muziki, P-Funk Majani.
My Take.
Harmorapa ndiyo mwanamziku bora kabisa kwa kipindi hiki na ataipeperesha vema sana bendera ya nchi yetu kimataifa. Tumuombee tu.
Source: Mwananchi.
harmolapa ndy anatusua ivyo na abadir jina ng'oo maana kuna wizkid na wizkhalifaMafanikio mema tunamtakia