Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Nimeiona video ya wimbo wake,amejitahidi,sema watu wa industry kama wanambeza ila anaweza na atafika mbali,kazi anaipendaHawezi kudumu kwenye spot light kwa maana yani u star wake haujaletwa na kazi yake ya mziki.
Yani drama zake zimemfanya amekuwa na jina kubwa kuliko mziki wake na watu wengi wanamjua lakini hawajua hata wimbo wake.
Mtu ambaye ameweza mantain kwa drama ni wema sepetu sijui kama hamo ataweza maana siyo muda mrefu watu watachoka hizi drama unless zingekuwa zinaenda sambamba na kazi.
Usigawe PASI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hv kaimba wimbo gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah mimi sijamuelewa huyu jamaa ,nyimbo yake aliyotoa ni ipi ?
Mwenyewe anakwambia Harmoniza ametoka TANDAHIMBAuyu katoka mtwara juzi, ana safari ndefu sana kuzoea mji, naona kashika hadi mdori..
Papuchi inaonekanasubiri wenye macho waje waone, aliyepiga picha Mungu anamuona kwa kweli
Juzi nimemuona mama mmoja anampa Murano ndo meneja wake yuleNani yuko nyuma ya huyu kijana, kwa faida gani?.....Muda utaongea.
[emoji122]Hawezi kudumu kwenye spot light kwa maana yani u star wake haujaletwa na kazi yake ya mziki.
Yani drama zake zimemfanya amekuwa na jina kubwa kuliko mziki wake na watu wengi wanamjua lakini hawajua hata wimbo wake.
Mtu ambaye ameweza mantain kwa drama ni wema sepetu sijui kama hamo ataweza maana siyo muda mrefu watu watachoka hizi drama unless zingekuwa zinaenda sambamba na kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Alishatoa hata wimbo...?
Ngoja nitafute [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimeiona video ya wimbo wake,anarap USIGAWE PASI
Huyo jamaa kwa mujibu wa interview zake yeye anafanya biashara soko la Mwenge,na anasema watu walikuwa wakimwambia anafanana na harmoniza,so wakaamua kumuita harmorappa,yeye akaitumia hiyo fursa kuamua kuanza kuimba kwa kurap.Anasema watu mtaani hukfananisha sana.na harmoniza na wengine hudhania ndo harmo.Leo nimeona video akihjiwa na Millard ayo akiwa na video kwin wake ambaye masabik wake wanamuita Wolpa.Ingawa wenyewe.wamekataa kuwa hawafanyi mapenz bali kaz tu.Ndio sifahamu...watu ambie!
Madale kunafuka motoHuyu sasa ndio mshindani wa kibakuli,hatimaye kibakuli amepata wa level yake!
Itafute tena amemshirikisha underground wenzie anaimb,yeye michanoNgoja nitafute [emoji38][emoji38][emoji38]
Sasa anaigiza kupata umaarufu....? Haitamsaidia kwenye muziki....Huyo jamaa kwa mujibu wa interview zake yeye anafanya biashara soko la Mwenge,na anasema watu walikuwa wakimwambia anafanana na harmoniza,so wakaamua kumuita harmorappa,yeye akaitumia hiyo fursa kuamua kuanza kuimba kwa kurap.Anasema watu mtaani hukfananisha sana.na harmoniza na wengine hudhania ndo harmo.Leo nimeona video akihjiwa na Millard ayo akiwa na video kwin wake ambaye masabik wake wanamuita Wolpa.Ingawa wenyewe.wamekataa kuwa hawafanyi mapenz bali kaz tu.
Nimeuona wimbo wake leo wa USIGAWE PASI[emoji23][emoji16][emoji16]
Huyo anachohitaj ni menejiment tu,ya uhakika.He can moveSasa anaigiza kupata umaarufu....? Haitamsaidia kwenye muziki....
Ni kwli,ajitahidi tuHamorapa kijana mwenye njaa ya mafanikio ana amini katika alichonacho wala hajali maneno ya wanaomubeza
Nia yake kubwa ni kuhakikisha muziki wetu unapaa zaidi ya ulipo sasa hii ni nia njema na ya kupigiwa upatu kwa wadau wote wa muziki
Ni hamorapa pekee ambaye ameweka rekodi ya msanii underground anaefuatiliwa kwa kasi katka mitandao ya kijami na kufanya interview karibia station zote za tv na radio
Huyo ndio hamorapa aneyetakiwa na watanzania wote kwa maana wapo wanaompenda na wapo wanaopenda kumchukia huyu ndo hamorapa
sasa shemu mbona umetuachia paja lote leupe nje tena jamani shemu
Akiipata sawa lakini aliyoko sasa ndio hiyo inalazimisha afahamike kwa scandal.....Huyo anachohitaj ni menejiment tu,ya uhakika.He can move