Harmorapa Fans' Special Thread...

Harmorapa Fans' Special Thread...

na respect struggles za harmo rapa na confidence aliyonayo ktk kusimamia kile anachoamini,kick ni moja ya mbinu zinazotumiwa na wasanii mbalimbali wa levels mbalimbali na wa sehemu mbalimbali.SO FAR amefanya vizuri zaidi kwenye kutengeneza jina(kuji brand yeye) akitumia fursa hii ambapo bado yupo hot na still he is a talk of the city ,ku release hit songs, ngoma kali kali,yani kiki zikiambatana/zikiongozana na ngoma kali,au kama hivo anavofanya kolabo na mastaa wa ndani na nje, atafika mbali sana,lakini aki base/kiijikita zaidi kwenye kiki zaidi kuliko kuachia ngoma kali atapotea fasta mazima na itakua kazi sana kurudi katika piki aliyofikia once akipotea.KIKI ZIWE KWENYE MIZANI ILIYO SAWA/ZI BALANCE NA KAZI NZURI/KUTOA NYIMBO MPYA KALI .....mimi ni mshabiki wa harmo rapa,nimevutiwa sana na JUHUDI ZAKE BINAFSI NA KUJIAMINI keep it up ....kiungo mpambanaji(KIBOKO YA MABISHOO).
 
Dar es Salaam. Mwanamuziki Kriticos kutoka Ubelgiji amewasili nchini kwa ajili ya kutengeneza wimbo wa pamoja na mwanamuziki Harmorapa.

Kriticos ambaye anaimba miondoko ya kufokafoka, (rap) amesema ameupenda uimbaji wa Harmorapa na ndiyo sababu ya kuamua kufanya naye kazi.

Aliyazungumza hayo muda mfupi baada ya kutua uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo mchana.

Kwa upande wake Harmorapa anayetamba na wimbo wa Kiboko ya Mabishoo alisema ujio huo ni heshima kubwa kwake.

Harmorapa amewataka mashabiki wake kukaa tayari kupokea ngoma hiyo itakayotengenezwa na mtayarishaji wa muziki, P-Funk Majani.
d280b37549fda1e4d16c638c269814ac.jpg

My Take.
Harmorapa ndiyo mwanamziku bora kabisa kwa kipindi hiki na ataipeperesha vema sana bendera ya nchi yetu kimataifa. Tumuombee tu.

Source: Mwananchi.
Nadhani kesho madame ataitisha press conference kutengua kauli yake ya insta kuhusu harmorapa sukari ya warembo😀😀😀
 
naona harmorapa kinachomfanya kuwepo hapo alipo ni management yake+media
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Siamini ngoja nisome upya yani mtu apande ndege toka uberigiji to tz kufanya tu colabo na harmorapa
Harmorappa ni msanii tayar sasa usichokiamini nini mazee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20170406-212711.png
 
naona harmorapa kinachomfanya kuwepo hapo alipo ni management yake+media
Hasa management,
Kwa sababu yenyewe ndo inaratibu kila kitu,yeye anapewa maelekezo.
Niliwahi kulieleza hili kuwa jamaa ana menejiment inayojua Industry,kwa maana hiyo itahakikisha anafika wanakopataka.
Na huyo kijana inaonesha ana nia ya kumove,
 
Akimaliza hapa atakwea pipa kwenda New York maana ile callable na Jay Z wanatakiwa waifanyie video Harlem
 
Back
Top Bottom