Harufu ya perfume yake haitoki puani mwangu

🤣🤣🤣🤣naona ile button yako ya uchizi iko on leo..shindwa!!!!..

Yes ninakera snaa babe
 
Itakuwa ulimuelewa mwamba🤨, na hapo hali itakuwa hivyo mpka week 4 ziishe au hata zaid inategemea tatzo limeathir vp mtu huska.😎​
 
Itakuwa ulimuelewa mwamba🤨, na hapo hali itakuwa hivyo mpka week 4 ziishe au hata zaid inategemea tatzo limeathir vp mtu huska.😎​
Hili tatizo limeniathiri kwakweli haiwezekani hataa 😁
 
Kama harufu imebaki kwenye nguo unaeza tamani usiifue uwe unainusa tu
Woi hata sitoifua huwezi amini nitaiweka na vigauni vingine viambukizane harufu kama mimi nilivyoambukizwa.sitaki ujinga mimi
 
Nimecheka sana......
unajua kuna pafyum flani hasa za kimarekani nikijipulizia mm nikikuhaga lazima upate genye......
Type zingine ndio hizo zinakukoroga akili.....
siku hizi hatutumii nguvu sana unadaka pafyum ya dola 400 then twende kazi....
 
Nimecheka sana......
unajua kuna pafyum flani hasa za kimarekani nikijipulizia mm nikikuhaga lazima upate genye......
Type zingine ndio hizo zinakukoroga akili.....
siku hizi hatutumii nguvu sana unadaka pafyum ya dola 400 then twende kazi....
Mkuu acha kuwapa mbinu mpya basi..
Sio imenikoroga tu mpenzi mwandishi...Yani imenivuruga kongosho,ini,firigisi,utumbo,mawashiwashiYani ni mtifuano pro max
 
[emoji23][emoji23][emoji23] eeehh baby ...... ivi unajua Mara ngapi nimejimwagia just kwa kukuwaza tuuu.



Kujimwagia Maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walah tena babe wewe ni mchizi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwahiyo unajimwagiaga maji
 
🤗🤗🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…